Habari Jf,kuna kitu nime sikia kwa baazi ya watu wangu wa karibu wakilia kuhusu izo allocation za mikopo,katika batch ya kwanza walio otoa wali toa na idadi ya watu watakao pata io mikopo lakini uki fika chuo jina huli kuti na uki uliza kwanini una ambiwa huna vigezo vya kupata,sasa hii ni danganya toto wanao ifanya bodi ya mikopo kwa kutoa idadi isio sahihi kwa wanufaika wa mikopo huku umma uki amini idadi iliyo tolewa ni ya kweli

