Kama kuna kitu kilichonifurahisha mwaka huu ni vigezo vipya vya bodi ya mikopo. Yaani vimetukumbuka sisi wanyonge tusiokuwa na kitu ambao tunasomea shule duni na kila tukijitahidi kusoma kwa akili zetu tunaishia division three wakati wenzetu watoto wa matajiri wanasoma shule nzuri, tuition lukuki na kuiba mitihani wanapata wani halafu wanatesa na mikopo asilimia mia, wakifika vyuoni wanatanua tu. Sasa Bodi imewakomesha, hakuna wani wala nini, kama babako tajiri no Loan. Hureeee Bodi ya mikopo kazeni uzi.
<br /><font size="3"><b>Kama kuna kitu kilichonifurahisha mwaka huu ni vigezo vipya vya bodi ya mikopo. Yaani vimetukumbuka sisi wanyonge tusiokuwa na kitu ambao tunasomea shule duni na kila tukijitahidi kusoma kwa akili zetu tunaishia division three wakati wenzetu watoto wa matajiri wanasoma shule nzuri, tuition lukuki na kuiba mitihani wanapata wani halafu wanatesa na mikopo asilimia mia, wakifika vyuoni wanatanua tu. Sasa Bodi imewakomesha, hakuna wani wala nini, kama babako tajiri no Loan. Hureeee Bodi ya mikopo kazeni uzi.</b></font>
Kama kuna kitu kilichonifurahisha mwaka huu ni vigezo vipya vya bodi ya mikopo. Yaani vimetukumbuka sisi wanyonge tusiokuwa na kitu ambao tunasomea shule duni na kila tukijitahidi kusoma kwa akili zetu tunaishia division three wakati wenzetu watoto wa matajiri wanasoma shule nzuri, tuition lukuki na kuiba mitihani wanapata wani halafu wanatesa na mikopo asilimia mia, wakifika vyuoni wanatanua tu. Sasa Bodi imewakomesha, hakuna wani wala nini, kama babako tajiri no Loan. Hureeee Bodi ya mikopo kazeni uzi.
<br />Kijana pole sana,naamini siku moja utakuwa na uwezo mkubwa wa kuang'amua mambo na utajilaumu kwa post hii.<br />
<br />
1. Kuishukuru bodi ya mikopo inaonesha ulivyo na utegemezi wa mawazo. Ni jukumu la serikali kuhakikisha unapata mkopo hivyo kupata kwakwo na wengine kukosa usione kama bahati, ni haki yako. Na wengine wana haki na wajibu wa kudai mpaka wapate haki hiyo<br />
<br />
2. Kusema vigezo vilivyotumika vimewaokoa wanyonge si kweli, bahati mbaya unaoweza kuwaita wanyonge wezio wamekosa. Rejea taarifa ya Bodi (waliokidhi vigezo ila hakuna fedha). <br />
<br />
3. Kwamba watoto wa matajiri wanasoma shule nzuri ni kweli. Kwamba wanaiba mitihani na kupata one ni dhana potofu. Huna ushahidi kuthibitisha hoja yako na naamini huenda uliwahi kusikia "eti..." na si kwamba ulishuhudia. Si vyema kudharau mafanikio ya wenzako<br />
<br />
4. Kwamba wakifika vyuoni wanatanua tu, si kweli. Kwanza umejauaje? maana hujawahi kusoma huko na kama uliambiwa huenda ulipewa taarifa potofu. Chuo kikuu sio sehemu ya mtu kutanua tu, tena kwa mtu asiye na uwezo darasani. Kama wanatanua na wanafaulu basi hao sio viraza kama unavyo wafikilia. Katika lugha nyingine hizo one ni za uhakika.<br />
<br />
<br />
<b>Mdogo wangu jaribu kuachana na mawazo ya umimi. mawazo ya kwa vile nimepata wengine watajiju. Dunia haiendi hivyo, serikali inaweza kubadili sera na ikakuumiza ukiwa hata hujamaliza mwaka wa kwanza wa masomo (kumbuka iliwahi kutokea). Pia unaweza kudisco ukalazimika kuomba upya mkopo, yakakukuta. </b><br />
<br />
Be careful with what you say especially in this period where thousands of sons and daughters of this country have lost hope and don't know what their destiny will be. Tunahitaji kuwatia moyo na si kuwadhihaki
Kama kuna kitu kilichonifurahisha mwaka huu ni vigezo vipya vya bodi ya mikopo. Yaani vimetukumbuka sisi wanyonge tusiokuwa na kitu ambao tunasomea shule duni na kila tukijitahidi kusoma kwa akili zetu tunaishia division three wakati wenzetu watoto wa matajiri wanasoma shule nzuri, tuition lukuki na kuiba mitihani wanapata wani halafu wanatesa na mikopo asilimia mia, wakifika vyuoni wanatanua tu. Sasa Bodi imewakomesha, hakuna wani wala nini, kama babako tajiri no Loan. Hureeee Bodi ya mikopo kazeni uzi.
<br />we malimwengu hujui ulimwengu we nmpuuuuz 2,hapa ndo nakumbuka kwamba ppo graduates bt stil stupid.... yo better thnk b4... kiss ya ass!!!