Hii taarifa ya TAHLISO ina ukweli?

emmarki

JF-Expert Member
Nov 22, 2012
682
918
KAMISHENI YA MIKOPO TAHLISO

06/11/2023

MASWALI YANAYOULIZWA KUTOKA KWA WANAFUNZI WANAOENDELEA NA MASOMO WALIOOMBA MKOPO, ( CONTINUING STUDENTS )

1. Mimi ni mwaka wa pili nimeomba mkopo lakini nimeandikiwa kujiandaa na zoezi la kukata rufaa, lakini bado Batches za continuing students hazijatoka, nifanyeje?.

JIBU Batch ya continuing students walioomba mkopo itatangazwa Novemba 10, 2023. Kuhusu kukata rufaa, wanafunzi hawa wasihangaike na rufaa ingawa mfumo hauwazuii, hivyo wawe wapole kwakuwa dirisha la kukata rufaa haliwahusu.

2. Mim naendelea na masomo na nimeomba mkopo, kwanini nimetumiwa ujumbe wa kukata rufaa na bado sijapangiwa Mkopo?

JIBU. Wanafunzi wote wanaosoma shahada ya kwanza, wameomba mkopo kupitia dirisha moja ( same window ) kwahyo, chochote kinachotokea katika mfumo kinaenda kwa wanafunzi wote walioutumia mfumo huo, lakini katika suala ku respond linategemea hatua aliyopo mwanafunzi husika, unaendelea na masomo, umetumiwa ujumbe wa kukata rufaa, batch yako haijatoka, usikate rufaa, kwasababu haiathiri chochote katika maombi yako.

Imetolewa na

Cde Agustine Hamli

Kamishna wa Mikopo na Ufadhili TAHLISO 2023/2024

0653297162
 
KAMISHENI YA MIKOPO TAHLISO

06/11/2023

MASWALI YANAYOULIZWA KUTOKA KWA WANAFUNZI WANAOENDELEA NA MASOMO WALIOOMBA MKOPO, ( CONTINUING STUDENTS )

1. Mimi ni mwaka wa pili nimeomba mkopo lakini nimeandikiwa kujiandaa na zoezi la kukata rufaa, lakini bado Batches za continuing students hazijatoka, nifanyeje?.

JIBU Batch ya continuing students walioomba mkopo itatangazwa Novemba 10, 2023. Kuhusu kukata rufaa, wanafunzi hawa wasihangaike na rufaa ingawa mfumo hauwazuii, hivyo wawe wapole kwakuwa dirisha la kukata rufaa haliwahusu.

2. Mim naendelea na masomo na nimeomba mkopo, kwanini nimetumiwa ujumbe wa kukata rufaa na bado sijapangiwa Mkopo?

JIBU. Wanafunzi wote wanaosoma shahada ya kwanza, wameomba mkopo kupitia dirisha moja ( same window ) kwahyo, chochote kinachotokea katika mfumo kinaenda kwa wanafunzi wote walioutumia mfumo huo, lakini katika suala ku respond linategemea hatua aliyopo mwanafunzi husika, unaendelea na masomo, umetumiwa ujumbe wa kukata rufaa, batch yako haijatoka, usikate rufaa, kwasababu haiathiri chochote katika maombi yako.

Imetolewa na

Cde Agustine Hamli

Kamishna wa Mikopo na Ufadhili TAHLISO 2023/2024

0653297162
Ndy

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom