Bodi ya Mikopo (HESLB) imeshindwa kutoa boom kwa wanafunzi wa vyuo

Momazi

Member
Jan 5, 2023
47
54
Nikikumbuka maneno ya mbunge huyo wa Jimbo la Bunda vijijini alisikika akisema kama angeweza angefuta boom vyuoni, kwa kuwa alikuwa akiishauri serikali maana yake ushauri wake umepokelewa.

Kama haukupokelewa ni kwa Nini hadi nukta hii bodi imeshindwa kutoa boom kwa wanafunzi wa vyuo, mbona kama bodi imekuwa wakati mwingine ikifanya makusudi? Binafsi naomba hao wanufaika wapewe haki uao kwani wanafunzi wana hali mbaya sana huko vyuoni.
 
Nikikumbuka maneno ya mbunge huyo wa Jimbo la Bunda vijijini alisikika akisema kama angeweza angefuta boom vyuoni,kwa kuwa alikuwa akiishauri serikali maana yake ushauri wake umepokelewa.Kama haukupokelewa ni kwa Nini hadi nukta hii bodi imeshindwa kutoa boom kwa wanafunzi wa vyuo,mbona kama bodi imekuwa wakati mwingine ikifanya makusudi? Binafsi naomba hao wanufaika wapewe haki Yao kwani wanafunzi wana hali mbaya sana huko vyuoni.
Kama chuo unachosoma mnavaa uniform endeleeni kusubiri boom mpaka mwezi ujao.

wanafunzi wa vyuo vikuu tayari wameingiziwa Boom since Monday
 
Kama chuo unachosoma mnavaa uniform endeleeni kusubiri boom mpaka mwezi ujao.

wanafunzi wa vyuo vikuu tayari wameingiziwa Boom since Monday
Eti wanafunzi wanaovaa uniform mbona Mimi Niko chuo ambacho ni tawi la Udsm hapa jijini na sivai uniform sijaingiziwa mkuu,au tunapewa kwa mafungu
 
Eti wanafunzi wanaovaa uniform mbona Mimi Niko chuo ambacho ni tawi la Udsm hapa jijini na sivai uniform sijaingiziwa mkuu,au tunapewa kwa mafungu
Kama upo kwenye tawi apo sasa ukae kwa kutulia (jokes),ila kugawa kwa mafungu iyo ni kawaida
 
Me nashaur muache kusoma naona ka mnateseka ivi yaan chuo upate shida mtaani uje ukae miaka 8 huna ajira unazid kuteseka mpk wengine wanajiua ss si upumbavu huo
 
Ukweli kua message sent mwenye masikio na asikie ,,serkali inakula hasara kusomesha wanafunz vyuo vikuu kwa kupitia mikopo na kwa kuekeza mamilion ya pesa ili aliesomeshwa akitoka aje alipe baada ya kuajiriwa ,,ilachangamoto inaanza graduate akishamaliza elimu yke anaishia mtaani hapo ndio lile neno hasara kwa serikali ndio linapofanya kazi na hapo mahasara ndipo yanapoanzia
 
Nikikumbuka maneno ya mbunge huyo wa Jimbo la Bunda vijijini alisikika akisema kama angeweza angefuta boom vyuoni, kwa kuwa alikuwa akiishauri serikali maana yake ushauri wake umepokelewa.

Kama haukupokelewa ni kwa Nini hadi nukta hii bodi imeshindwa kutoa boom kwa wanafunzi wa vyuo, mbona kama bodi imekuwa wakati mwingine ikifanya makusudi? Binafsi naomba hao wanufaika wapewe haki uao kwani wanafunzi wana hali mbaya sana huko vyuoni.
Chuo gani bado hamjaingiziwa boom?
 
Back
Top Bottom