Bodi ya mikopo haina pesa kwa sasa !!

Moyibi

JF-Expert Member
May 11, 2012
1,054
710
Kwa taarifa nilizopata Hivi Punde kutoka kwa Chombo changu kinachoaminika ni Kwamba Bodi Ya mikopo << HESLB >> kwa sasa Haina Pesa Ya kutosha ya kuweza kulipia kila mwanafunzi Ada Yake Ya chuo na Inasemakana wapo taYari kutoa Majina iwapo tu Serikali kupitia kitengo Chake Cha Wizara Ya elimu itatoa Fungu la Kutosha !!

ANGALIZO: kwa wale ndugu Zangu ambao vyuo vyao vitafunguliwa katikati Ya mwezi Huu wa 9 waanze kujichangachanga Maana HESLB hawatatoa Majina Hivi Karibu Uhakika ni Mwezi Wa kumi kwani Vyuo vingi vinategemewa kufunguliwa tarehe za mwanzo wa mwezi wa kumi !? Mwenye kuamini na amini na asiYe amini Basiii
 
kuhusu vyuo vya nje ambavyo tayari vimeshafunguliwa itakuwaje? Ama unaongelea vyuo vya ndani tu? Uliza hio source yako upate taarifa kamili kaka
 
kuhusu vyuo vya nje ambavyo tayari vimeshafunguliwa itakuwaje? Ama unaongelea vyuo vya ndani tu? Uliza hio source yako upate taarifa kamili kaka

nazungumzia vyuo vya ndani mkuu
 
Mimi nafungu tar 15 oct,sina wasiwasi tena. Najua tu mwisho wa siku watatoa hata kama ni mwezi wa 10.

ndo ivyo kijana wewe nenda kasome !! Kama ulijaza kozi ya priority usiwe na wasiwasi utapata mkopo kama kawaida
 
Kama ni kuwapa mkopo watu wenye Priority pekee sasa fedha hatoshi kivipi? Kwasababu course zenye priority hazifiki 30 na waliochanguliwa hwafiki elfu 15 kweli bado hazitoshi? Na walisema ''Possible loan amount is subjected to means testing"
 
kwa taarifa zikizo ingia hivi pute ni kwamba chanzo cha yote haya ni wale jamaa zetu TCU wamechelewa kupeleka majina HESLB
 
Sasa na hiyo ya empty slots za MUHAS ndo itakuwaje? Inamaana hawa HESLB watasubiri hadi sept 17 ambayo ndo deadline ya hzo slots za MUHAS ? Hapa itatuhusu.
 
Back
Top Bottom