Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
Waombaji wa Mkopo kwa kujisajili kwa njia ya mtandao kuwa uwezekano mkubwa kukosa mkopo.
1- Waombaji wamekuwa wanalipa pesa kama inavyoelekwa kuipitia mpesa na tigo pesa bila ya mtandao wa bodi kumruhusu mwombaji kuendelea na hatua nyingi.
2- Ukipata bahati ya kuendelea unakwama katika unabaki hewani.
3-Kimbukeni kuna vijana wengi wako Jkt muda ya kujisajili bila mafanikio.
4- Ukibahatika kufika hatua ya kuprint fomu yako ni shida.
5-Simu za bodi ilikuomba msaada alipokelewi.
TUNAOMBA KUZIFANYIA KAZI CHANGAMOTO ZA MTANDAO WENU WATU WA BODI.
Sent using Jamii Forums mobile app
1- Waombaji wamekuwa wanalipa pesa kama inavyoelekwa kuipitia mpesa na tigo pesa bila ya mtandao wa bodi kumruhusu mwombaji kuendelea na hatua nyingi.
2- Ukipata bahati ya kuendelea unakwama katika unabaki hewani.
3-Kimbukeni kuna vijana wengi wako Jkt muda ya kujisajili bila mafanikio.
4- Ukibahatika kufika hatua ya kuprint fomu yako ni shida.
5-Simu za bodi ilikuomba msaada alipokelewi.
TUNAOMBA KUZIFANYIA KAZI CHANGAMOTO ZA MTANDAO WENU WATU WA BODI.
Sent using Jamii Forums mobile app