A
Anonymous
Guest
Kuna kampuni ya kubashiri inaitwa Premier Bet hawa jamaa ukibet na kushinda wana Uswahili sana, ukishinda wanakwambia utume vitambulisho vyako na ukituma muda huohuo wana..block account yako.
Ukiwapigia simu wanakwambia tumeona una accounts zaidi ya moja za Premier Bet ilihali sina na pesa iliyoko kwenye akaunti huwezi kufanyia lolote, malalamiko haya yapo kwa watu wengi tumejitahidi kufanya mawasiliano na gaming board tumeshindwa kuwafikia.
Ukiwapigia simu wanakwambia tumeona una accounts zaidi ya moja za Premier Bet ilihali sina na pesa iliyoko kwenye akaunti huwezi kufanyia lolote, malalamiko haya yapo kwa watu wengi tumejitahidi kufanya mawasiliano na gaming board tumeshindwa kuwafikia.