A blessing by disguise, tukusanye kodi zetu wenyewe ili nasi siku moja tuwe donner country.
ule mradi wa umeme vijijini lazima usimame
Tungeshukuru Tukiupata Lakini Hawawezi Leta UBEBERU Wao Bora UMASKINI WENYE HESHIMA KULIKO UTAJIRI WA KIMBWA MBWAHabari ilopo ni kwamba Tanzania wamenyimwa msaada wa MCC kwa sababu ya suala la Uchaguzi wa Zanzibar pamoja na cyber crime legislation.
========================
Habari ilopo ni kwamba Tanzania wamenyimwa msaada wa MCC kwa sababu ya suala la Uchaguzi wa Zanzibar pamoja na cyber crime legislation.
========================
Mi naona hawa huwa wana sababu zao za kutotoa msaada. Siwezi amini eti hiyo ndo sababu. Kwani wao sera zao za mambo ya nje zina hata chembe ya demokrasia?
Mi naona hawa huwa wana sababu zao za kutotoa msaada. Siwezi amini eti hiyo ndo sababu. Kwani wao sera zao za mambo ya nje zina hata chembe ya demokrasia?
Si ajabu wametukomoa kutokana na ukaribu wetu na Wachina kwenye Projects zinazo gharimu hela ndefu e.g Ujenzi wa mabarabara, Bandari, Reli, Umeme na gesi nk.Hawapendi kabisa wachina wajikite sana Africa.
Mbona siku za mwishoni mwishoni wa utawala wa JK nilimsikia akisema kwamba Wakubwa wamehafiki ku-release fedha zilizo baki kwa mradi wa umeme vijijini, sasa kama wametuwekea spana kwenye mradi wenye umuhimu wa pekee Nchini naona hapo watakuwa wamekosea sana - kwani watu wa vijijini wanahusikana vipi na mambo ya siasa huko Zanzibar - huu ni upuuzi ulio pitiliza mipaka na kama UKAWA ndio walihusika kutuchomea utambi basi watakuwa na akili za kichawi na ukosefu wa hekima.ule mradi wa umeme vijijini lazima usimame
Hii ndiyo statement ya The Millennium Challenge Corporation (MCC) Board of Directors!
For Immediate Release
December 17, 2015
Renee Kelly
202-521-3880
The Millennium Challenge Corporation (MCC) Board of Directors held its quarterly meeting on Dec. 16, 2015. The Board approved three countries as eligible for compacts and two countries as eligible for threshold programs. Three of the five countries are new partners for MCC and all have worked hard to improve their performance on MCC?s scorecard, which measures countries? commitment to ruling justly, economic freedom, and investing in their people.
The Board selected Cote d?Ivoire, Kosovo and Senegal as newly eligible for compacts. Cote d?Ivoire, which was selected in December 2014 for a threshold program, will now transition into the compact program after showing continued improvement on its scorecard and achieving greater political stability. Kosovo, which passed MCC?s scorecard for the first time after making progress on democratic rights, is a new partner for MCC. Senegal successfully completed its first MCC compact in September and demonstrated improved scorecard performance over the life of the partnership.
In both Senegal and Cote d?Ivoire, the Board recommended that MCC explore potential investments that address regional obstacles to economic growth, in addition to domestic investments, while recognizing the need for statutory authority to optimize regional impact.
The Board also selected Togo and Sri Lanka to develop MCC threshold programs. Togo has shown a clear upward trajectory on overall scorecard performance over the past few years. Sri Lanka has embarked on a remarkable effort over the past year to reinvigorate its democratic institutions, improve governance, and restore protection of human rights.
Nepal, Niger and the Philippines were reselected by the Board to continue developing their compacts. The Board reselects all countries in compact development as part of the annual selection process. The Board deferred a vote on the reselection of Tanzania and Lesotho for compact eligibility until relevant governance concerns in both countries have been addressed.
Finally, the Board reaffirmed its commitment to developing a compact with Mongolia and its support for a strategic partnership with India to advance economic growth and poverty reduction in South Asia.