ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,898
- 36,398
Timu mwenyeji kwenye Kariakoo derby amegoma lakini bodi ya ligi wao wanatangaza tarehe ya mchezo
Hawa bodi ya ligi naamini hawako timamu kichwani
Majukumu ya timu mwenyeji
1.kuandaa uwanja na vifaa
Timu mwenyeji (Yanga) ana jukumu la kimuandalia Simba vifaa vya mchezo kama mipira na cones za mazoezi
2 kukaribisha timu mgeni
Kuhakikisha usalama wa miundo mbinu, Simba wakivamiwa bodi ya ligi watajibu Nini?
3. Waamuzi
Timu mgeni Huwa unawasiliana na waamuzi wa mchezo kuwapokea na kuwaandalia mazingira salama ya kazi kama usalama wa vyumba n.k
4 Vyombo vya habari
Timu mgeni huwakaribisha waandishi na wapiga picha
Sasa hiyo derby waandishi wa habari watakaza wapi na mechi haina mwenyeji
5 Mauzo ya tickets na mapato
Timu mwenyeji ndo hufanya Mauzo ya tickets Kwa mashabiki Sasa hiyo derby mashabiki watafikaje na kuingia uwanjani ikiwa mwenyeji hajaridhia kucheza
6. kuandaa miundo mbinu yote
Kuanzia parking, security, protocol za wageni n.k
7 promotion ya mechi
Hiyo mechi nani ataitangaza na kutoa hamasa ya mashabiki kuja kiwanjani
Bodi ya ligi wamepanga kuhujumu Yanga na kuangamiza football Kwa kuibeba Simba
Hawa bodi ya ligi naamini hawako timamu kichwani
Majukumu ya timu mwenyeji
1.kuandaa uwanja na vifaa
Timu mwenyeji (Yanga) ana jukumu la kimuandalia Simba vifaa vya mchezo kama mipira na cones za mazoezi
2 kukaribisha timu mgeni
Kuhakikisha usalama wa miundo mbinu, Simba wakivamiwa bodi ya ligi watajibu Nini?
3. Waamuzi
Timu mgeni Huwa unawasiliana na waamuzi wa mchezo kuwapokea na kuwaandalia mazingira salama ya kazi kama usalama wa vyumba n.k
4 Vyombo vya habari
Timu mgeni huwakaribisha waandishi na wapiga picha
Sasa hiyo derby waandishi wa habari watakaza wapi na mechi haina mwenyeji
5 Mauzo ya tickets na mapato
Timu mwenyeji ndo hufanya Mauzo ya tickets Kwa mashabiki Sasa hiyo derby mashabiki watafikaje na kuingia uwanjani ikiwa mwenyeji hajaridhia kucheza
6. kuandaa miundo mbinu yote
Kuanzia parking, security, protocol za wageni n.k
7 promotion ya mechi
Hiyo mechi nani ataitangaza na kutoa hamasa ya mashabiki kuja kiwanjani
Bodi ya ligi wamepanga kuhujumu Yanga na kuangamiza football Kwa kuibeba Simba