Uamuzi huu wa kuifutilia mbali manegement mbovu ya ATCL umekuja kama wadau wengi walivyoomba ingawa wamechelewa sana, ile manegement ilishakuwa kama mtoto nunda CAG kasema, Rais kasema na waziri wao kasema lakini hakuna hatua iliyochukuliwa, yaani walikuwa wanaona kabisa wanachimbiwa kaburi lakini wao wamekaa kama ngamia asubiri achinjwe
HahahahahahahahahahahaNew slogan.
Hapa hakuna kazi!!!!