- Thread starter
- #41
ni mzalendo hajakoseaAisee.... We jamaa una hatari sana
ni mzalendo hajakoseaAisee.... We jamaa una hatari sana
Coffee
Kajiweka wazi yeye mwenyewe na mwenzake... Hii ni hatarini mzalendo hajakosea
acha kutishaKajiweka wazi yeye mwenyewe na mwenzake... Hii ni hatari
Sitishi ila nasema tu... Mfano labda tuchukulie hii kesi ya hilo eneo ipo polisi na wapo kwenye upelelezi, huoni kwamba jamaa ndio atakuwa hatua muhimu ya kusaidia upelelezi...acha kutisha
😁😁😁😁😂😂😂🤣Ushahidi: mm ni bodaboda, kuna mama mmoja mke wa mtu anapenda sana kunitumia kumpeleka sehemu za mishe yake.
Sasa huwa mumewe anasafiri safiri sana. Hivyo mama huniomba nimpeleke kwa mchepuko wake mida ya saa mbili usiku halafu nikamchukue SAA 4 usiku. Huwa hataki arudishwe na usafiri wa mchepuko.
Ikatokea na mm nimezoeana na binti yake pia, nikaanza kumla binti. Mama siku moja akanifunania ktk uchochoro na binti yake akaanza kunipiga biti.
Nami nikamtishia kuwa nitatoa siri. Akaufyata
Tukapatana na akaendelea kunitumia kumpeleka kwa mchepuko wake. Kuna Siu nikamkomalia kwamba sitaki hela nataka nyapu. Mama akawa hana namna akanipa nyapu. Nikawa nimefanikiwa kula mama na maana
Bodaboda ni bonge la kazi
....Kuna boda mmoja nilipiga nae stori akaniambia huwa anaenda maeneo ya mbezi beach kwenye nyumba ambayo ipo underground then anakabidhiwa unga anausafirisha kwa boda kwenda moro ambapo akifika anapokelewa kwa ulinzi mzito kwenye nyumba ambayo ipo nje ya mji wa ,moro.........
Pia asilimia 90 ndio uwapa mimba wanafunzi kupitia liftKatika shughuli zangu za hapa na pale nilipata mda Wa kuchunguza hawa vijana wetu Wa bodaboda wanafanyaje kazi zao, lakini nimebaini hawa bodaboda wana siri nzito sana ukiamua kuzifanyia kazi;
Tunapokuwa makazini hawa bodaboda ndiyo wapiga doria mtaani
Hawa bodaboda ndiyo wanaobeba wake zetu kupeleka kwa mabwana mbalimbali
Hawa bodaboda kwa vile wanatunza siri za wake zetu mwisho Wa siku nao huambulia kuonjeshwa penzi na wake zetu ili wasiharibu mambo
Miongoni mwa vifo vya bodaboda ni double criminal; yaani Bodaboda wengi wanauwawa kwasababu ya either kwa kushindwa kutoa siri kwa mme anaebaini kuibiwa mke wake, kwahiyo mwenye mke huamua kulipa kisasi kwa kupanga shambulizi la kuua na kupora pikipiki ili kupoteza ushaidi. (wanawapora pikipiki ili kulifanya tukio lisionekane la kisasi kumbe nyuma ya pazia ni kisasi)
Hawa bodaboda wanafahamu wageni wanaoingia na kutoka mtaani kwako
Hawa bodaboda wanajua siri na aina ya ulinzi tulio nao
Hawa bodaboda wanafahamu kipato cha kila MTU, mwenye pesa na masikini
Hawa bodaboda wanafahamu mida yetu ya kutoka na kurudi majumbani
Bodaboda hawabagui Twiga,ngamia na suala yaani wanaweza kula mtoto,mama na mamamtu akijipendekeza.
Hawa bodaboda wakikosa wateja baadhi yao hubadilika na kuwa vibaka.
Hawa bodaboda wanatumikaga pia kuchora mchongo
Bodaboda hawa maeneo ya mipakani ndiyo wanaosafirisha magendo
Kuna bodaboda mmoja pale mikocheni anajulikana kwa mipira iliyopoa; yaani anatafuna marinda ya vichaa na walevi wanaolala mtarolini! n.k
ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO
View attachment 1063331
View attachment 1063333
MuongoBoda boda wengine ni TISS
Mmmh kugongewa aisee unagongewa tena katika maeneo/ mazingira usiyotaraji.Hilo nalo nenooo! lakini mi wife Wangu hana hizo mambo
hata lile la dodoma?hii jamii ya bodaboda kila tukio wanahusishwa
Wanaumoja haswaaIla Hawa jamaa kwenye suala la kusaidiana, mwenzao anapopatwa na tatizo huwa wanajitoa sana aisee.
Nakumbuka mwaka 2018. Nilipata ajali karibu na kituo kimoja cha boda boda aisee wale jamaa walinipa msaada ambao sikutarajia na hakuna mtu hata mmoja ambae alikua ananifahamu kati yao.
Heshima kwenu wakuu popote mlipo. (Madereva piki piki)
Hahahaha na akati ukiongea nae kiume atakumefea Siri fresh tuuuUongo mwingi sana . Hicho kipato cha mtu wanachokifahamu labda ni chako. Hakuna mwanaume ambaye atahangaika kumuua boda boda eti ampe siri ya wapi anampeleka mkewe.ni jambo la kipuuzi .na boda boda anakubali kufa kuficha wapi anampeleka mke wa mtu? Very stupid