Goodrich
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 2,091
- 1,177
Wandugu tuwe makini sana na hawa jamaa wa bodaboda.
Kama ni lazima utumie bodaboda basi tafuta mtu wako mmoja makini, aliyetulia, mwenye kujua sheria za matumizi ya barabara na mwenye akili timamu.
Ajali za bodaboda ni nyingi kila siku.
Ukweli ni kuwa ajali hizi kwa kiwango kikubwa husababishwa na uzembe wa bodaboda wenyewe.
Hawa jamaa wana papara sana.
Wakiwa hawajui sheria za matumizi ya barabara, wanaamini katika kuovateki muda wote, kutosimama taa nyekundu, kuvuka barabara bila kuangalia, na hata kuliovateki gari upande wa kushoto, ...kifupi wana papara sana.
Tuwe makini, tujiepushe na ajali!
Kama ni lazima utumie bodaboda basi tafuta mtu wako mmoja makini, aliyetulia, mwenye kujua sheria za matumizi ya barabara na mwenye akili timamu.
Ajali za bodaboda ni nyingi kila siku.
Ukweli ni kuwa ajali hizi kwa kiwango kikubwa husababishwa na uzembe wa bodaboda wenyewe.
Hawa jamaa wana papara sana.
Wakiwa hawajui sheria za matumizi ya barabara, wanaamini katika kuovateki muda wote, kutosimama taa nyekundu, kuvuka barabara bila kuangalia, na hata kuliovateki gari upande wa kushoto, ...kifupi wana papara sana.
Tuwe makini, tujiepushe na ajali!