Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,606
Walimu wengi, hasa wa kwenye shule zilizopo mijini wanamiliki bodaboda , hivyo usiku wanakesha kuongeza kipato Kwa kupakia abiria.
Mchana wanapiga vipindi, usiku wanatega na kutupakia sana.
Hii ni nzuri maana wanajiongeza ili kujikwamua kiuchumi.
Bodaboda wa usiku ni Walimu wanaotufundishia watoto wetu, tuwaheshimu sana.
Mchana wanapiga vipindi, usiku wanatega na kutupakia sana.
Hii ni nzuri maana wanajiongeza ili kujikwamua kiuchumi.
Bodaboda wa usiku ni Walimu wanaotufundishia watoto wetu, tuwaheshimu sana.

