Bodaboda na wake za watu

Bodaboda na wake za watu

Swet-R

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
5,611
Reaction score
8,096
Toka kuanza kwa usafiri wa hizi pikipiki imekuwa na wimbi kubwa sana la wake za watu kutoka kimapenzi na hao bodaboda.

Nauliza hivi ni hao wake wanaowataka hao bodaboda au imekaaje hiyo?

Muda mwingine najiuuliza labda ndoa nyingi hazijitoshelezi,hasa wanaume kutowatosheleza kisawa sawa wake zao kwenye swala zima la mgegedo? Au ni tabia tu wanawake kubadirisha viwanja?

Maana muda mwingine mwanamke anayechukuliwa na huyo bodaboda utakuta kwake mambo safi sana kiuchumi.

Na hawa vijana wa boda boda wengi nasikia wameingia kwenye kutumia viagra kubust nguvu zaidi ili amfikishe vi3,vi4 huyo mke wa mtu.

Wasiwasi sasa itatokea kubwa watoto watoto wengi waliopo kwenye familia ni wa bodaboda.
 
Ni hivi:-
Wanawake wengi bila kujali vipato vyao wanapenda sana urahisi, yaani hawako tayari kupata taabu kwa kitu ambacho kuna sehemu kinapatikana hata kwa gharama ya mwili.
Kiujumla mwanamke ana safari nyingi kwa siku kuliko mwanaume; ataondoka kwenda sokoni (bodaboda), vikoba(bodaboda), kumjulia hali mgonjwa Hosp(bodaboda), Saluni(bodaboda) nk. Ukipiga hesabu kwa siku wengine wanafikisha elfu 6 kwa bodaboda tu.
Taabu inaanza pale bodaboda huyo anapokubali kumkopesha huduma hiyo, mwisho wa siku malipo ya fedha yanageuka malipo ya mwili.
Pili, ni kwamba bodaboda wanatumika sana kuwapeleka wake za watu kwenye michepuko au kuchukua vitu kwa michepuko kupelekea wake za watu. Bodaboda wa aina hii akikomaa kwamba atatoa siri lazima anunuliwe kwa Papuchi.
Mengine, Yaliyomo yamo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hivi:-
Wanawake wengi bila kujali vipato vyao wanapenda sana urahisi, yaani hawako tayari kupata taabu kwa kitu ambacho kuna sehemu kinapatikana hata kwa gharama ya mwili.
Kiujumla mwanamke ana safari nyingi kwa siku kuliko mwanaume; ataondoka kwenda sokoni (bodaboda), vikoba(bodaboda), kumjulia hali mgonjwa Hosp(bodaboda), Saluni(bodaboda) nk. Ukipiga hesabu kwa siku wengine wanafikisha elfu 6 kwa bodaboda tu.
Taabu inaanza pale bodaboda huyo anapokubali kumkopesha huduma hiyo, mwisho wa siku malipo ya fedha yanageuka malipo ya mwili.
Pili, ni kwamba bodaboda wanatumika sana kuwapeleka wake za watu kwenye michepuko au kuchukua vitu kwa michepuko kupelekea wake za watu. Bodaboda wa aina hii akikomaa kwamba atatoa siri lazima anunuliwe kwa Papuchi.
Mengine, Yaliyomo yamo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh...! Kabisa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mwanamke...ila hakuna kundi linaloongoza kutongoza km maboda boda...tena sio kutongoza tu boda boda wamejikita kutongoza wake za watu...yaan had unachefukwa...sasa inategemeana na aina ya mwanamke...wanasweat siku nzima..ptu...niishie hapa
Kweli eeeh...! Mimi nilifikiri wao ndio wanatokewa na nyie sister? Kumbe wana maneno wao eeeh?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio bodaboda tu, hata kabla ya huu usafiri walikuwa wanabanjuliwa sana na wauza genge, wauza nyama, na wote watoa huduma ambazo akina mama ni wateja wakuu.

Ilivyo ni kwamba wanapenda sana kitonga na pia kutokana na tamaa ya kununua makorokoro kibao pesa kwao siku zote ni pungufu hivyo wanaishia kubana pesa na kuachia mwili.
 
Mimi ni mwanamke...ila hakuna kundi linaloongoza kutongoza km maboda boda...tena sio kutongoza tu boda boda wamejikita kutongoza wake za watu...yaan had unachefukwa...sasa inategemeana na aina ya mwanamke...wanasweat siku nzima..ptu...niishie hapa
Dada una elimu na unajitambua, ndiyo maana unaweza kubagua na kuona kinyaa.
Lakini ni kinamama wachache sana "kabila yako" wanaoweza kuchambua mbivu na mbichi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada una elimu na unajitambua, ndiyo maana unaweza kubagua na kuona kinyaa.
Lakini ni kinamama wachache sana "kabila yako" wanaoweza kuchambua mbivu na mbichi.

Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂😂 mimi nashukuru sana mwisho wa siku huwa wanaongea kilicho moyoni mwangu...
au dada kwajili unaona siò hadhi yako😂😂 akisema hivyo najua kesi imeisha..hao hao watongoze watoto wetu wa shule hao hao watutake mama zao..shwain
 
Back
Top Bottom