Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,734
- 9,916
Kuna Mdau mmoja hapo Juu ameeleza Vizuri
Na Declare Interest:kwamba mie namiliki Bodaboda:-
Unajua tatizo ni kwamba watu wengi tukiachiwa tufanye kitu basi tunaona kwamba ni haki yeti na kutaka kuficha ukweli.
Mtakumbuka wakati Carry(Virukuu)vinaanza,vilichiwa tu vipige kazi bla hata kuwa na vibali kama gari za mizigo.
Baada ya muda Serikali na watu wa gari kubwa kama Canters wakasema jamani hawa watu mbona hawalipi Kodi na wao wanabeba mizigo kama zie?Serikali ikasema kwamba wanatakiwa kulipa,ndio wakakaza na kuanza kulpa na mie ninazo nikaanza kulipa.Mwanzo ilikuwa mbinde sana,maana hii tender walipewa Majembe Auction,na hata mie gari zilikamatwa,nikaenda kulipa na ikatolewa mpaka leo watu wanalipa na maisha yanaendelea.
Sasa Suala la bodaboda,ni lazima tulipe,tatizo tunafanya kama mazoea tu.Bodaboda,Bajaji,Taxi,hawa ni pacha wanaofanana,tofauti ni Matairi na roof tu.
Sasa mdau usilalamike,ile ni biashara na lazima ulipie na sheria zipo wazi sana.Msipende kuingiza Siasa kwenye Uhalisia,na ndio maana wanasiasa wengine wanatununua kwa udhaifu wetu wa uelewa.
Na Declare Interest:kwamba mie namiliki Bodaboda:-
Unajua tatizo ni kwamba watu wengi tukiachiwa tufanye kitu basi tunaona kwamba ni haki yeti na kutaka kuficha ukweli.
Mtakumbuka wakati Carry(Virukuu)vinaanza,vilichiwa tu vipige kazi bla hata kuwa na vibali kama gari za mizigo.
Baada ya muda Serikali na watu wa gari kubwa kama Canters wakasema jamani hawa watu mbona hawalipi Kodi na wao wanabeba mizigo kama zie?Serikali ikasema kwamba wanatakiwa kulipa,ndio wakakaza na kuanza kulpa na mie ninazo nikaanza kulipa.Mwanzo ilikuwa mbinde sana,maana hii tender walipewa Majembe Auction,na hata mie gari zilikamatwa,nikaenda kulipa na ikatolewa mpaka leo watu wanalipa na maisha yanaendelea.
Sasa Suala la bodaboda,ni lazima tulipe,tatizo tunafanya kama mazoea tu.Bodaboda,Bajaji,Taxi,hawa ni pacha wanaofanana,tofauti ni Matairi na roof tu.
Sasa mdau usilalamike,ile ni biashara na lazima ulipie na sheria zipo wazi sana.Msipende kuingiza Siasa kwenye Uhalisia,na ndio maana wanasiasa wengine wanatununua kwa udhaifu wetu wa uelewa.