PostGE2025 Bodaboda: Desemba 9 hatutoki amani yetu taifa letu

PostGE2025 Bodaboda: Desemba 9 hatutoki amani yetu taifa letu

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

ChekoFagia

Senior Member
Joined
Sep 20, 2025
Posts
115
Reaction score
339
Bakari Shingo, mbunge wa Ukonga kupitia ACT-Wazalendo, akizungumza na wanabodaboda katika kata ya Ukonga, amewahakikishia kuwa hawatashiriki maandamano Desemba 9, akisisitiza kuwa amani yetu ni mali ya taifa letu.
 
Nani kasema haya maandamano ni ya bodaboda!? Wao wakalale kabisa,hawajaalikwa, sheikh majini na yule mwandishi wa habari clouds waliouwa walikuwa bodaboda kwenye maandamano ya Mo29!?


Kingine CCM imezoea kuwalisha maneno watu, yaani ujinga wa CCM na chawa wao wanaulazimisha kwa taifa Zima.

Nakumbuka Kuna kibindi nadhani January 2024 ilileta tamuko ati walimu wamchangia fedha ya kuchukulia fomu ya urais Samuya,huu ulikuwa ujinga kabisa kuwahi kutokea

Wazo la watu kumi linafanywa kuwa wazo la walimu wote Tanganyika.
 
Nani kasema haya maandamano ni ya bodaboda!? Wao wakalale kabisa,hawajaalikwa, sheikh majini na yule mwandishi wa habari clouds waliouwa walikuwa bodaboda kwenye maandamano ya Mo29!?


Kingine CCM imezoea kuwalisha maneno watu, yaani ujinga wa CCM na chawa wao wanaulazimisha kwa taifa Zima.

Nakumbuka Kuna kibindi nadhani January 2024 ilileta tamuko ati walimu wamchangia fedha ya kuchukulia fomu ya urais Samuya,huu ulikuwa ujinga kabisa kuwahi kutokea

Wazo la watu kumi linafanywa kuwa wazo la walimu wote Tanganyika.
WEwe ndo mwalimu wa kwanza Tanzania unae jitambua
 
Hawa ACT kabla ya M029 si walijidai wao ndio wenye uwezo wa kuitisha maandamano? Mbona watu walitoka bila wao?
Haya maigizo hayasaidii
 
Bakari Shingo, mbunge wa Ukonga kupitia ACT-Wazalendo, akizungumza na wanabodaboda katika kata ya Ukonga, amewahakikishia kuwa hawatashiriki maandamano Desemba 9, akisisitiza kuwa amani yetu ni mali ya taifa letu.
Kama JWTZ, USALAMA POLISI NA VIKOSI VINGINE VYENYE KUJIHUSISHA NA USALAMA WANANCHI, WALI TU SNICH, HAO BODA BODA NI KITU GANI AISEEE... Alafu wewe unajulikana kupitia avatar yako umesimamia maovu
 
Sio bodaboda tu hata sie wajasiriamali wadogo hatutoki, na hata madeiwaka wa mtaani wamesema hawatoki!
 
Kwahyo wao sio maafisa wasafirishaji tena?
 
Bakari Shingo, mbunge wa Ukonga kupitia ACT-Wazalendo, akizungumza na wanabodaboda katika kata ya Ukonga, amewahakikishia kuwa hawatashiriki maandamano Desemba 9, akisisitiza kuwa amani yetu ni mali ya taifa letu.
Wahuni wa samia wanajaribu kulinda ugali wao kwa kutengeneza video uchawa 😁😁😁😁
 
hahaha bonge la promo kwa maandamano na wao wanatumia slogan ya d9 ...
 
ACT ya zitto ni ngumu Sana kubadilika.
Wapinzani wote wa mchongo wamebuma Toka October 29
 
Back
Top Bottom