Huo ni mshahara wabongo lazima ana upigaji wake huko home. Mtu kama huyo ukimwambia umhamishe kitengo umpandishe mshahara hawezi kukubaliView attachment 2939208
Kuna Jamaa Nambebaga Kwenye Bodaboda kumpeleka Kazini daily Aliniambia Analipwa 500K Kajenga Na Ana Mke Na Watoto Wawili Anasomesha Bording Hivi Inawezekanaje?
Kwani nyumba, kibanda, kiota, ni sehemu za kujistili kwa lugha nyepesi zinaitwa nyumba. Full stop!View attachment 2939208
Kuna Jamaa Nambebaga Kwenye Bodaboda kumpeleka Kazini daily Aliniambia Analipwa 500K Kajenga Na Ana Mke Na Watoto Wawili Anasomesha Bording Hivi Inawezekanaje?