Kama ni hujuma , muhusika/wahusika inabidi watafutwe kwa udi na uvumba....na kushughulikiwa. Kama ni ajali..basi watu wa BIMA wafanye uungwana.
Mwenye uwezo wa kupiga picha tafadhali
Aisee inatisha...inabidi turudi kwenye kutumia bomba la mafuta...kusafirikisha kimiminika hiki mafuta.Chanzo ni tanker ya South Africa ilokua imebeba Petrol,iligonga tank lake kwenye trailer ya lory jingine,ndipo ukalipuka na moto kusambaa kwenye magari
Poleni sana.
Chanzo cha moto sijui ni nini?
Ahsante mdauChanzo ni tanker ya South Africa ilokua imebeba Petrol,iligonga tank lake kwenye trailer ya lory jingine,ndipo ukalipuka na moto kusambaa kwenye magari
Usiwemvivu kusoma coment za wadau.
Hii ni moja ya picha niliyotumiwa muda huu na dereva wa hilo gari linaloonekana hapo,ni la Tz na dereva ni mTz pia