kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
kuanzia tarehe saba mwezi huu ni marufuku kwa pikipiki maarufu kama bodaboda na bajaji kuingia katikati ya jiji la dar es salaam.kauli hii imetolewa na sumatra.abiria watatakiwa kupanda bodaboda au bajaji kutokea pembezoni mwa mji na baadae kupanda mabasi yanayohudumia katikati ya jiji.
my take:naipongeza sumatra kwa uamuzi huu hasa ukizingatia kero inayoambatana na vyombo hivi vya usafiri ikiwa ni pamoja na uvunjaji wa sheria za nchi unaofanywa na madereva wake.ushauri wangu ni vizuri amri hii ikaenea katika miji yote nchini kwani kero ya bodaboda imekuwa ni kubwa mno.
my take:naipongeza sumatra kwa uamuzi huu hasa ukizingatia kero inayoambatana na vyombo hivi vya usafiri ikiwa ni pamoja na uvunjaji wa sheria za nchi unaofanywa na madereva wake.ushauri wangu ni vizuri amri hii ikaenea katika miji yote nchini kwani kero ya bodaboda imekuwa ni kubwa mno.