boda boda na bajaji marufuku kuingia katikati ya jiji

hivi na sie wafanyakaz wa kampuni flani flani tuliopewa pikipiki watatutambuaje kama si bodaboda!?
 

PRIVATE MOTORBIKE


Vipi kama mtu ana pikipiki yake binafsi nayo inakatazwa kuingia mjn?



















Vipi kama mtu ana pikipiki yake binafsi atakatazwa kuingia nayo mjini?
 
mkuu mimi natumia public transport(daladala)lakini sikubaliani na uwepo wa bodaboda mjini,nenda MOI uone ubaya wa bodaboda.
mkuu kwani huko mbezi na tegeta huwa hazipati ajali? mi kiukweli mamikokoteni wayatoe mjini tubakinayo hukuhuku uswahilini kwetu
 
kuanzia tarehe saba mwezi huu ni marufuku kwa pikipiki maarufu kama bodaboda na bajaji kuingia katikati ya jiji la dar es salaam.kauli hii imetolewa na sumatra.abiria watatakiwa kupanda bodaboda au bajaji kutokea pembezoni mwa mji na baadae kupanda mabasi yanayohudumia katikati ya jiji.
my take:naipongeza sumatra kwa uamuzi huu hasa ukizingatia kero inayoambatana na vyombo hivi vya usafiri ikiwa ni pamoja na uvunjaji wa sheria za nchi unaofanywa na madereva wake.ushauri wangu ni vizuri amri hii ikaenea katika miji yote nchini kwani kero ya bodaboda imekuwa ni kubwa mno.


......Hii sio mara ya kwanza kutolewa ilani kama hii... kwa ajili ya bodaboda na hata biashara za wamachinga katika maeneo yasioruhusiwa lakini zile bodaboda na bajaji unazoziona kule mjini kati ni za hao hao wenyewe wanaotakiwa kuwakataza kuingia mjini.... hii ni nguvu ya soda ... hebu angalia wamachinga ubungo darajani na maeneo mengine ambayo serikali ya mkoa ilipiga marufuku .... hakuna lolote :majani7::pout::A S thumbs_up:
 
Nawaonea huruma wadada waliokuwa na vimitoko vyao ambao wanatumia sana bodaboda.anapewa kahela ka tax ye anabana anachukua kabodaboda nyingine anabana vile bei rahic.bac wangetuachia japo bajaji mana wengine tushazoea bodaboda kupita maelezo..serikali ifkirie upya swala hili.kwani c ilitoa ajira kwa vijana ss iweje iwageuke.hapo ndo vibaka watazd mitaani.kama umepangiwa ajali ipo tu.watuachie kimoja kati ya bajaji ama bodaboda
 
boda boda zipo nchi nyingi tu..india, uganda, nigeria ndyo usiseme kwa hyo mm naona bodaboda na bajaji kwanza wamerahisisha usafiri mjini na sehemu zte mkuuu
 
Last edited by kipindupindu; 4th November 2011 at 20:23.
Mbona hivi tena! mwaka umerudi nyuma au macho yangu.



Haya pengine mwaka sio wa msingi.

Mimi naombi kwa Mhe.Mnyika atupe mrejesho wa hiki kitu hapa chini.

Cc. JOHN JOHN Mnyika



Hata hivyo yeyote mwenye kufahamu vizuri katazo hili la Boda/pikipiki atusaidie wengine tusiofahamu vizuri maeneo yanayohusika na vigezo vinginevyo vinayofaa kuzingatiwa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom