beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mgombea Urais wa nchi hiyo kupitia National Unity Platform (NUP) Robert Kyagulanyi anayefahamika zaidi kama Bobi Wine amepata dhamana baada ya kukamatwa Jumatano
Kwa mujibu wa Polisi, Mgombea huyo alikamatwa kwa madai ya kukiuka taratibu za COVID19 ambazo zimewekwa na Serikali kupitia Wizara ya Afya
Nchi hiyo imeingia katika vurugu kufuatia kukamatwa kwake na baadhi ya watu wamepoteza maisha na kujeruhiwa huku mamia wakikamatwa
PIA, SOMA:
Kwa mujibu wa Polisi, Mgombea huyo alikamatwa kwa madai ya kukiuka taratibu za COVID19 ambazo zimewekwa na Serikali kupitia Wizara ya Afya
Nchi hiyo imeingia katika vurugu kufuatia kukamatwa kwake na baadhi ya watu wamepoteza maisha na kujeruhiwa huku mamia wakikamatwa
PIA, SOMA: