SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,975
- 75,059
.Bc mngeandamana ili kuonyesha dunia kuwa mmeibiwa
.Bc mngeandamana ili kuonyesha dunia kuwa mmeibiwa
Mngeandamana ndo ungejua ujui, mwanaume mzima unapambania tonge la mwanaume mwenzako asiyekujua ww nani.! Mm sijawahi kupiga kura na wala sitokaa kupiga kura so nyie endeleeni tuu na siasa zenu
Umeua bendi mkuu...Ukiona msanii ana library ya vitabu basi ujue huyo upstairs yuko vzr
Syo wasani wengine sjui wanaimba inama nkuchomeke,tingisha nkupake mafuta
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Wewe kinachokuwasha nini mbona unakuwa kama changudoa?Mngeandamana ndo ungejua ujui, mwanaume mzima unapambania tonge la mwanaume mwenzako asiyekujua ww nani.! Mm sijawahi kupiga kura na wala sitokaa kupiga kura so nyie endeleeni tuu na siasa zenu
Sawa mamaWewe kinachokuwasha nini mbona unakuwa kama changudoa?
Kwani naye mkewe ni mzuri?Unataka kusema Marehemu Deo Filikunjombe alikua mhuni?
Thamani ya mtu huanzia kwake mwenyeweMbona wengi walitabiri lowassa lkn hakuna kitu.? Sio kila mtu anakuwa rais tuu, mm hata nikigombania urais kupitia CCM bado ntapigwa za uso.
Kitendo cha kucomment hapa tayari umeandamana kuonyesha hisia zako ziko wapi, na tupo tunaokudharau kama wewe unavyowadharau hao wenye nia ya kuingia mtaaniMngeandamana ndo ungejua ujui, mwanaume mzima unapambania tonge la mwanaume mwenzako asiyekujua ww nani.! Mm sijawahi kupiga kura na wala sitokaa kupiga kura so nyie endeleeni tuu na siasa zenu
Weye una tuakili twa ki-CCM hadi unachusha.Tulia ule makande!Wapinzani hawajawahi kuwa serious, ety naye alitaka kuwa rais
Anaaibisha ukoo.Mama yangu anajina hilo la mwisho hadi sitaki kusikia huyu creature!Kitendo cha kucomment hapa tayari umeandamana kuonyesha hisia zako ziko wapi, na tupo tunaokudharau kama wewe unavyowadharau hao wenye nia ya kuingia mtaani
Ile pisi naikubali sana, sijui imerithiwa na nani aseee!!!Unataka kusema Marehemu Deo Filikunjombe alikua mhuni?
Mkuu! hili mbona kama dongo kwa mzee wetu ?Hivi mnahisi president lazima aweje? Kuna mtu alitoka udj hadi raisi huko visiwani au mnajidai hamjui? Mmekariri raisi lazima awe mzee halafu ujanani lazima awe alikuwa anavaa misuti mikubwaaa


Mtaelewa tuuAnaaibisha ukoo.Mama yangu anajina hilo la mwisho hadi sitaki kusikia huyu creature!
Uzuri upo wapi?
Itakuwa unatumia halotelMsaada picha kwangu azifunguki nimwone mrembo wa msela![]()
Bado wako lock down? Huyo dada amenusurika kuwa First lady