Bob Wine ana mke mzuri sana

Bob Wine ana mke mzuri sana

Jibu lako lipo kwenye katiba inayosema kuhusu vigezo vya kuwa rais, pia kuna uchaguzi wananchi wataamua huko. Kwahy unaweza ukawa na sifa lkn wananchi wakakukataa.
Na wananch na katiba yao wanaweza kukubali lkn chama kikakukata, ref;Mamvi
 
Wapinzani hawajawahi kuwa serious, ety naye alitaka kuwa rais
Hivi mnahisi president lazima aweje? Kuna mtu alitoka udj hadi raisi huko visiwani au mnajidai hamjui? Mmekariri raisi lazima awe mzee halafu ujanani lazima awe alikuwa anavaa misuti mikubwaaa
 
Jibu lako lipo kwenye katiba inayosema kuhusu vigezo vya kuwa rais, pia kuna uchaguzi wananchi wataamua huko. Kwahy unaweza ukawa na sifa lkn wananchi wakakukataa.
Kumbuka katiba ya kwao ilimruhusu ndiomaana tume ikampitisha kuwa mgombea
 
Hivi mnahisi president lazima aweje? Kuna mtu alitoka udj hadi rahisi huko visiwani au mnajidai hamjui? Mmekariri raisi lazima awe mzee halafu ujanani lazima awe alikuwa anavaa misuti mikubwaaa
Ukiona mtu amekuwa na cheo flan bc ujue hakubahatisha, ishu ya dj kuwa rais sishangai mana kama sifa anazo atapata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom