Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,150
- 1,713
Kimbunga, hapa kidogo sikubaliani na reasoning yako. Embu nawe soma sentensi yako tena. Yani unadhani sababu ya kuumwa sio sigara kwasababu kavuta mda mrefu au sababu ni sigara kwasababu kavuta mda mrefu? Matumizi ya sigara mda mrefu ndio haswa yaletao matatizo. May the outcome be the best. Best wishes Bob Makani.Mkuu nadhani hiyo si sababu kwa kuwa Bob amevuta fegi muda mrefu.