VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Kuna taarifa kuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA,baada ya Mzee Edwin Mtei,Mohamed Makani(Bob Makani) amelazwa katika Hospitali ya Aghakan.Mwenye taarifa juu ya kinachomsibu Kamanda huyu atujuze.Nitakwenda pale kesho kumtakia pole Mzee wetu huyu.Get well soon Kamanda!