BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

Ukibamiza hata LC200 tu kama hela ya mawazo itakaa garage miezi japo ni gari ya kijapani.
Engine yake nimepata SA rand laki mbili kama 30m Tsh gari imekaa ina miezi home...na hii ni used mpya wanataka 64m Tsh..
 

Attachments

  • IMG-20240705-WA0038.jpg
    IMG-20240705-WA0038.jpg
    221.5 KB · Views: 40
Mbali na Toyota andika maumivu
Ni swala la uchumi. Kila umiliki wa gari au chochote kinategemea hali ya uchumi binafsi. Huwezi kuwa una mshahara wa laki nane uwaze kumiliki harrier.

European cars zinahitaji watu wenye vipato vikubwa. Kitu ambacho Watanzania kinatupiga chenga sana.
Tanzania on average wengi tunanunua gari za 10+ years ..na ndo tunaita new model.

Hebu Kanunue Audi ya 2024 uone kama itakusumbua. Ni maamuzi tuu yanayotegemea mfumo wako.
 
Acha hizo kuna range rovers nyingi sana nimeziona gereji za mitaa ya kinondoni na sinza zimetelekezwa sijui kuna siri gani humo
Kuna ingine nliiona discovery 3 ipo nyakato neshno inauzwa 10 mil mpya kabisa kwenye magari ya kukata imekufa engine nikataka kuibeba, jamaa kaniambia labda 5 mil ndo uchukue uje tukuekee engine ya 3l ya hiace nikaambiwa na jamaa mwingine ina air suspension moja ikifa gharama yake inakaribia kununua passo
 
Back
Top Bottom