I missed something good.
what is that Bulldog, i know you like car perhaps you can share with us your experience on BMW,I like BMW 1 series please i need to hear something from you
I missed something good.
Now I do believe that Lexus = Ladies' car
Aisee humu kuna watu wanafanya vurugu,na humu humu kuna wataalam wanaoelezea magari hayo.
Sasa sijui hali inakuwaje.
Mie nimependa tu hizo gari,kwa kuchukulia watoto IFM safi kweli.
Naskia ukiwa nayo unawala kavu kavu tu..joking!!
ukiwa nayo hiyo kuchukua binti IFM ni Kama unavua samaki kwenye nyavu....ha ha
Duh aisee huu uchawi wa mzungu haupitwi fasheni
Hivi wewe mshikaji ulisoma hata Hisabati kweli Shule ya Msingi na ukafaulu?
Unajua Hesabu hata Sequence and Series? Hizo gari kuitwa 1 series, 2 series 5 series 7series n.k ina maana yake hiyo ni Hisabati ya sequence and series sasa iweje namba 3 iwe kubwa klk 1?
Hata common sense tu ya kawaida kwa mtoto aliyefaulu Mtihani wa Taifa wa darasa la nne (4) atakwambia hilo, nashangaa tunabishana hapa kujaza kurasa kwa kitu ambacho kiko wazi kabisa!
Narudia tena kuna sababu kwa nini ikaitwa Series hizo ni namba (sequence) na ndio maana BMW X3 ni ndogo kiliko BMW X5 kwa maana ya sequence ya namba vile vile Audi A 4 ni ndogo klik Audi A6 na Audi A6 ni ndogo kuliko Audi A 8 sijui tatizo liko wapi hapa?
Ni pm kwa ushauri na parts za hio gari UK QUALITY PARTShii hapa 3 Series M Sports Model..
Mkuu asante sana kwa ushauri. nimevuta 3series M sports......... nasubiri kutumbuliwa jipu sasa.
Cheers!
Huyo jamaa ni mvurugaji tu ndio maana ana id kibao anajichanganya tu kuvuruga watu, mleta mada kachuja pumba na mchele kavuta mashine hio.Ngoja tukate mzizi wa fitina ina maana Kijakazi mtu anapo omba ushauri wa kununua hizo gari maana yake ni kwamba hana hela ??? Vipo vitu vingi vinamvumtia mtu kununua gari ,labda yeye umbo la gari ndio linamvutia lakini hakua na maana kwamba hana hela ya kununua kati ya hizo choices zake
Kuna 1series ipo inauzwa 18m namba DGF owner ananunua X3 hii iko too low kwake. black in color superbBMW series1 na series3 ukiagiza kutoka Japan yaani gharama yake ikoje kwa pesa ya kiswahili kuanzia manunuzi ya nje, shipping pamoja na tra bandarini?
Nadhani tu kaamua tu kufanya makusudi ,Huyo jamaa ni mvurugaji tu ndio maana ana id kibao anajichanganya tu kuvuruga watu, mleta mada kachuja pumba na mchele kavuta mashine hio.
Weka picha basi.Kuna 1series ipo inauzwa 18m namba DGF owner ananunua X3 hii iko too low kwake. black in color superb
ngoja niiandaeWeka picha basi.
Mkuu nina shida ya radiator na oilcooler ya BMW 318i,BMW 1 series ni ndogo, BMW 3 ni kubwa kwa umbo kulinganisha na 1series.
Unapokuja kwenye engine zinaweza kuwa sawa mfano 118i ni sawa na 318i au 130d ni saw a na 330d
Kikubwa hapo ni body size kulingana na matumizi yako
Agiza Japan wana bei nzuri hasa befoward,spare zipo ukinunua wasiliana na mimi
Oil cooler ya engine au gearbox? Radiator 400,000Mkuu nina shida ya radiator na oilcooler ya BMW 318i,
Hivi mkuu nimeona umegusia jamaa anunue M-Sport model, what is so special about this model? Ya kawaida na hii m-sport model ni nini??Ni pm kwa ushauri na parts za hio gari UK QUALITY PARTS
Ya gear box,ipo chini ya radiator,Oil cooler ya engine au gearbox? Radiator 400,000