BMW Series 1, 3, 5

BMW Series 1, 3, 5

Hivi mkuu nimeona umegusia jamaa anunue M-Sport model, what is so special about this model? Ya kawaida na hii m-sport model ni nini??
High spec BMW ni M-SPORT version. Kuna M3/M5/ X5 M/ X6 M etc
Hii alionunua huyu sio M3 per se ina shape tu kama M3.

M3 ina big poweful engine na bei ni balaa.
 
mkuu hongera sana kwa kugundua uwepo wa magari mengine mazuri zaidi ya Toyota.
Binafsi nigekushauri uchukue 3 series na uachane na hizo 1 Series.

BMW 1 Series ---->
Used_Bmw_1_series_2008_Grey_Hatchback_Petrol_Manual_for_Sale_in_Aberdeenshire_UK.jpg












BMW 3 Series ---->
8474b8a1.jpg



Binafsi natumia BMW (E46) 3 Series M Sports mwaka wangu wa pili huu halijasumbua kabisa. Ni gari luxury sana, engine performance kubwa- top speed 250km/h, steptronic transmission, sports package (tofauti na haya mengine kina Altezza, Subaru, Mark X, Verossa etc. Nakushauri usichukue 3 Series ya kawaida, chukua 3 Series M Sports. Bei hazitofautiani sana hasa kama unaagiza toka Japan.

hii hapa 3 Series M Sports Model..

6308187425_b4725398c2_z.jpg


na hii Standard 3 Series

BMW_3er_(E46,_1998%E2%80%932001)_front_MJ.JPG


E46_325i_Top_Speed.jpg


Spare part zipo za kutosha. Ukiagiza BMW yoyote nitafute kwenye number 0716-904626 au 0767-174757 kwaajili ya spare parts upgrades mbali mbali na interesting modifications za BMW utapenda. mfano hizi hapa chini..

BMW-2-Series-Convertible-Door-Lamp-Logo.jpg


Brakelyn asante sana kwa uchambuzi na ulinganifu mzuri wa hizo series. Mimi nina mpango wa kununua BMW X3 au BMW X5. Tafadhali unaweza kunijulisha zaidi kuhusu hizo model? Katika pita pita zangu pia nimeshaona BMW X1 lakini sijaona BMW X2 au BMW X4. Tafadhali toa shule!
 
Mwenye huelewa na BMW M3 kwanzia 2006 nakuendelea
 
Back
Top Bottom