BMW Series 1, 3, 5

kkiwango

Senior Member
Aug 27, 2007
173
14
Habarini wanandugu.

Msaada tutani,ninataka kununua au niseme kuagiza gari aina ya BMW series 1 au3. Ninaomba ushauri kwa wenye uzoefu na magari haya yasiyo TOYOTA. Hizi gari zafaa huku kwetu spea je zapatikana? unanishauri nini.

Ipi ni njia nzuri na ya usalama zaidi kuagiza gari na wapi naweza kupata kwa bei nzuri

Asanteee kwa ushauri
 
Habarini wanandugu. Msaada tutani,
Ninataka kununua au niseme kuagiza gari aina ya BMW series 1 au3. Ninaomba ushauri kwa wenye uzoefu na magari haya yasiyo TOYOTA. Hizi gari zafaa huku kwetu? spea je zatikana? unanishauri nini?

ipi ni njia nzuri na ya usalama Zaidi kuagiza gari? na wapi naweza kupata kwa bei nzuri




Asanteee kwa ushauri

Wewe Ni Muongo na wala SiYO mnunuzi wa hayo magari kwa sababu BMW 1 na 3 ni gari mbili tofauti kwa watu wawili tofauti ni kama vile mtu anauliza kati ya Toyota Spacio na Toyota Lexus IS anunue ipi!
 
Ni gari comfortable,ila ujue service yake inabidi iwe ya uhakika,umeme ni mwingi,spea zipo ila gharama yake ni kubwa kuliko ya toyota
 
Wewe Ni Muongo na wala SiYO mnunuzi wa hayo magari kwa sababu BMW 1 na 3 ni gari mbili tofauti kwa watu wawili tofauti ni kama vile mtu anauliza kati ya Toyota Spacio na Toyota Lexus IS anunue ipi!
Wewe mwongo, wala huyajui magari!!! Maana ungekuwa unayajua ungempa ushauri badala ya kuponda hoja yake!! Kwa hiyo unamwambia hayo magari hayapo hapa duniani?
 
Wewe Ni Muongo na wala SiYO mnunuzi wa hayo magari kwa sababu BMW 1 na 3 ni gari mbili tofauti kwa watu wawili tofauti ni kama vile mtu anauliza kati ya Toyota Spacio na Toyota Lexus IS anunue ipi!

What's ur point? Kwahio mtu hawezi kuuliza anunue lipi Kati ya spacious na Lexus is?
 
Habarini wanandugu.

Msaada tutani,ninataka kununua au niseme kuagiza gari aina ya BMW series 1 au3. Ninaomba ushauri kwa wenye uzoefu na magari haya yasiyo TOYOTA. Hizi gari zafaa huku kwetu spea je zapatikana? unanishauri nini.

Ipi ni njia nzuri na ya usalama zaidi kuagiza gari na wapi naweza kupata kwa bei nzuri

Asanteee kwa ushauri

BMW 1 series ni ndogo, BMW 3 ni kubwa kwa umbo kulinganisha na 1series.

Unapokuja kwenye engine zinaweza kuwa sawa mfano 118i ni sawa na 318i au 130d ni saw a na 330d

Kikubwa hapo ni body size kulingana na matumizi yako

Agiza Japan wana bei nzuri hasa befoward,spare zipo ukinunua wasiliana na mimi
 
Wewe Ni Muongo na wala SiYO mnunuzi wa hayo magari kwa sababu BMW 1 na 3 ni gari mbili tofauti kwa watu wawili tofauti ni kama vile mtu anauliza kati ya Toyota Spacio na Toyota Lexus IS anunue ipi!
Najua ni ngumu kunielewa huwa siku zote nina shida ya kujieleza na kueleweka hivyo siyo kosa lako!
zipo BMW 1 Series, 3 Series, 5 Series etc na zote ni za Manufacturer mmoja na sio wawili kama unavyodai.. Wewe ndio usiyejua, mtake radhi mwenye uzi!!
 
Habarini wanandugu.

Msaada tutani,ninataka kununua au niseme kuagiza gari aina ya BMW series 1 au3. Ninaomba ushauri kwa wenye uzoefu na magari haya yasiyo TOYOTA. Hizi gari zafaa huku kwetu spea je zapatikana? unanishauri nini.

Ipi ni njia nzuri na ya usalama zaidi kuagiza gari na wapi naweza kupata kwa bei nzuri

Asanteee kwa ushauri
mkuu hongera sana kwa kugundua uwepo wa magari mengine mazuri zaidi ya Toyota.
Binafsi nigekushauri uchukue 3 series na uachane na hizo 1 Series.

BMW 1 Series ---->
Used_Bmw_1_series_2008_Grey_Hatchback_Petrol_Manual_for_Sale_in_Aberdeenshire_UK.jpg












BMW 3 Series ---->
8474b8a1.jpg



Binafsi natumia BMW (E46) 3 Series M Sports mwaka wangu wa pili huu halijasumbua kabisa. Ni gari luxury sana, engine performance kubwa- top speed 250km/h, steptronic transmission, sports package (tofauti na haya mengine kina Altezza, Subaru, Mark X, Verossa etc. Nakushauri usichukue 3 Series ya kawaida, chukua 3 Series M Sports. Bei hazitofautiani sana hasa kama unaagiza toka Japan.

hii hapa 3 Series M Sports Model..

6308187425_b4725398c2_z.jpg


na hii Standard 3 Series

BMW_3er_(E46,_1998%E2%80%932001)_front_MJ.JPG


E46_325i_Top_Speed.jpg


Spare part zipo za kutosha. Ukiagiza BMW yoyote nitafute kwenye number 0716-904626 au 0767-174757 kwaajili ya spare parts upgrades mbali mbali na interesting modifications za BMW utapenda. mfano hizi hapa chini..

RGB-LED-BMW-Angel-Eye-Halo-11.jpg
BMW-2-Series-Convertible-Door-Lamp-Logo.jpg
LED-Car-door-step-courtesy-laser-projector-Shadow-Logo-Light-Lamp-lights-for-BMW-E60-E90.jpg
amber.jpg


cp4617425508672923990.jpg
 
zipo BMW 1 Series, 3 Series, 5 Series etc na zote ni za Manufacturer mmoja na sio wawili kama unavyodai.. Wewe ndio usiyejua, mtake radhi mwenye uzi!!

Sicho nilichomaanisha! Nilichomaanisha ni kwamba na mpaka nikatoa mfano ni BMW 1 iko tofauti sana tu na BMW3 na zote mbili ziko pia tofauti sana BMW 5 na zote hizi tatu zinatengenezwa kwa gharama tofauti kwa wateja tofauti hivyo Mteja wa BMW 1 hawezi kuwa mteja BMW 5!
Tofauti ya bei kati ya BMW1 na BMW3 inaweza kufika mpaka dola10 000 za kimarekani na vivyo hivyo tofauti ya bei kati ya BMW 3 na BMW5 inafika mpka dola 15 000 na kati ya BMW1 naBMW5 tofauti ya bei inafika mpaka 20 000 Dola za Kimarekani!

Hivyo ina maana mteja wa BMW1 kwa hali ya kawaida hawezi kuwa mteja wa BMW5 na ndio maana zikawekwa hizo series ni kwa watu mbalimbali wenye vipato tofauti tofauti!
 
Kwa hali ya kawaida haiwezekani kwa maana hizo ni gari mbili tofauti kwa watu wawili tofauti!

hali ya kawaida kwako....kwa wengine hawana clue na magari yeye anaona gari ni gari na ndio maana kaomba msaada.
 
Sicho nilichomaanisha! Nilichomaanisha ni kwamba na mpaka nikatoa mfano ni BMW 1 iko tofauti sana tu na BMW3 na zote mbili ziko pia tofauti sana BMW 5 na zote hizi tatu zinatengenezwa kwa gharama tofauti kwa wateja tofauti hivyo Mteja wa BMW 1 hawezi kuwa mteja BMW 5!
Tofauti ya bei kati ya BMW1 na BMW3 inaweza kufika mpaka dola10 000 za kimarekani na vivyo hivyo tofauti ya bei kati ya BMW 3 na BMW5 inafika mpka dola 15 000 na kati ya BMW1 naBMW5 tofauti ya bei inafika mpaka 20 000 Dola za Kimarekani!

Hivyo ina maana mteja wa BMW1 kwa hali ya kawaida hawezi kuwa mteja wa BMW5 na ndio maana zikawekwa hizo series ni kwa watu mbalimbali wenye vipato tofauti tofauti!

mkuu, acha kupotosha watu....hizo gari pamoja na utofauti wake wa size,sio kigezo cha bei hio unayoiona ni ya bei ya chini[bmw 1 series] inaweza kuwa na bei kubwa kuliko hizo unazoziona za bei ya juu[3/5 series na x]. Kwahio wewe unamuona huyo alieuliza ni wa ajabu lakini amefanya cha maana sana kuuliza maanake angechukulia kirahisi rahisi kwa kuangalia size kama wewe,ingemtokea puani.

bei ya bmw inategemea na SPECIFICATION na sio size kama 1/2/3/5 kama unavyofikiri,its not that straight foward. kama vipi tafuta bei ya bmw 130M halafu linganisha na bmw 318i ya kawaida. AU angalia bei ya bmw M5 halafu linganisha na bmw X5 3.0i.
 
mkuu, acha kupotosha watu....hizo gari pamoja na utofauti wake wa size,sio kigezo cha bei hio unayoiona ni ya bei ya chini[bmw 1 series] inaweza kuwa na bei kubwa kuliko hizo unazoziona za bei ya juu[3/5 series na x]. Kwahio wewe unamuona huyo alieuliza ni wa ajabu lakini amefanya cha maana sana kuuliza maanake angechukulia kirahisi rahisi kwa kuangalia size kama wewe,ingemtokea puani.

bei ya bmw inategemea na SPECIFICATION na sio size kama 1/2/3/5 kama unavyofikiri,its not that straight foward. kama vipi tafuta bei ya bmw 130M halafu linganisha na bmw 318i ya kawaida. AU angalia bei ya bmw M5 halafu linganisha na bmw X5 3.0i.

SIYO Kweli!
Sasa ndugu huwezi kulinganisha visivyolingana kama unataka kulinganisha BMW1 sijui M basi pia ni lazima utafute BMW3 pia M ndiyo ulinganishe hizo mbili lkn siyo BMW1 M na BMW3 ya kawaida hapana!

Bei ya BMW1 haiwezi hata siku moja kuwa kubwa kuliko BMW3 au BMW5 kwa hali ya kawaida! Ni kama mtu aseme bei ya VW Golf ni kubwa kuliko VW Passat hilo haliwezekani kwa hali ya kawaida kwani hizo gari zinatengenezwa kwa wateja wawili tofauti wenye vipato viwili tofauti sasa unapoongelea mambo M5 hiyo gari special pia kwa wateja maalumu lkn unapoongelea BMW 1 au BMW3 bila mambo ya M sijui na nini ni kwamba BMW1 ni bei ya chini klk BMW3, BMW3 ina bei ya chini klk BMW5, BMW 5 ina bei ya chini klk BMW7 na sasa kuna BMW9 iko njiani nayo itakuwa na bei ya juu klk BMW 7 ni rahisi kihivyo tu na ndio maana zikawekwa hizo namba hazijawekwa bila ya sababu!

Ni kama vile Toyota Land Cruiser200 GXR haiwewezi kuwa na bei ya juu (kwa hali ya kawaida) kuliko Toyota Land Crusier 200 VX kwani hizi mbili zimetengenezwa kwa wateja wawili tofauti!
 
SIYO Kweli!
Sasa ndugu huwezi kulinganisha visivyolingana kama unataka kulinganisha BMW1 sijui M basi pia ni lazima utafute BMW3 pia M ndiyo ulinganishe hizo mbili lkn siyo BMW1 M na BMW3 ya kawaida hapana!

Bei ya BMW1 haiwezi hata siku moja kuwa kubwa kuliko BMW3 au BMW5 kwa hali ya kawaida! Ni kama mtu aseme bei ya VW Golf ni kubwa kuliko VW Passat hilo haliwezekani kwa hali ya kawaida kwani hizo gari zinatengenezwa kwa wateja wawili tofauti wenye vipato viwili tofauti sasa unapoongelea mambo M5 hiyo gari special pia kwa wateja maalumu lkn unapoongelea BMW 1 au BMW3 bila mambo ya M sijui na nini ni kwamba BMW1 ni bei ya chini klk BMW3, BMW3 ina bei ya chini klk BMW5, BMW 5 ina bei ya chini klk BMW7 na sasa kuna BMW9 iko njiani nayo itakuwa na bei ya juu klk BMW 7 ni rahisi kihivyo tu na ndio maana zikawekwa hizo namba hazijawekwa bila ya sababu!

Ni kama vile Toyota Land Cruiser200 GXR haiwewezi kuwa na bei ya juu (kwa hali ya kawaida) kuliko Toyota Land Crusier 200 VX kwani hizi mbili zimetengenezwa kwa wateja wawili tofauti!
#limetumbuka nimeshaelewa tatizo lako lipo wapi. Unadhani kuwa BMW 1 Series ni toleo la zamani kabla ya 3 na 5 series. Hapo ndipo tatizo lako lilipoanzia. Na hivyo inakufanya udhani bei ya 1 Series itakuwa ndogo kuliko ya 3 na 5 series wakati sio kweli.

5 Series zilianza kutengenezwa mwaka 1972 - Present.

3 Series zilianza kutengenezwa mwaka 1975 - Present.

1 Series zilianza kutengenezwa mwaka 2004 - Present.

Bei ya 1 Series ni kubwa kuliko bei za 3 & 5 Series. Sio kama unavyofikiri wewe. Nadhani wewe ni mgeni sana kwenye haya magari ya BMW!!

Ngoja nikupe mfano kwa prices za kila model..!!

image.jpg


wi377l.jpg
 
#limetumbuka nimeshafahamu tatizo lako lipo wapi. Unadhani kuwa BMW 1 Series ni toleo la zamani kabla ya 3 na 5 series. Hapo ndipo tatizo lako lilipoanzia. Na hivyo inakufanya udhani bei ya 1 Series itakuwa ndogo kuliko ya 3 na 5 series wakati sio kweli.

5 Series zilianza kutengenezwa mwaka 1972 - Present.

3 Series zilianza kutengenezwa mwaka 1975 - Present.

1 Series zilianza kutengenezwa mwaka 2004 - Present.

Bei ya 1 Series ni kubwa kuliko bei za 3 & 5 Series. Sio kama unavyofikiri wewe. Nadhani wewe ni mgeni sana kwenye haya magari ya BMW!!

Ngoja nikupe mfano kwa prices za kila model..!!

Hivi wewe mshikaji ulisoma hata Hisabati kweli Shule ya Msingi na ukafaulu?
Unajua Hesabu hata Sequence and Series? Hizo gari kuitwa 1 series, 2 series 5 series 7series n.k ina maana yake hiyo ni Hisabati ya sequence and series sasa iweje namba 3 iwe kubwa klk 1?

Hata common sense tu ya kawaida kwa mtoto aliyefaulu Mtihani wa Taifa wa darasa la nne (4) atakwambia hilo, nashangaa tunabishana hapa kujaza kurasa kwa kitu ambacho kiko wazi kabisa!

Narudia tena kuna sababu kwa nini ikaitwa Series hizo ni namba (sequence) na ndio maana BMW X3 ni ndogo kiliko BMW X5 kwa maana ya sequence ya namba vile vile Audi A 4 ni ndogo klik Audi A6 na Audi A6 ni ndogo kuliko Audi A 8 sijui tatizo liko wapi hapa?

 
SIYO Kweli!
Sasa ndugu huwezi kulinganisha visivyolingana kama unataka kulinganisha BMW1 sijui M basi pia ni lazima utafute BMW3 pia M ndiyo ulinganishe hizo mbili lkn siyo BMW1 M na BMW3 ya kawaida hapana!

Bei ya BMW1 haiwezi hata siku moja kuwa kubwa kuliko BMW3 au BMW5 kwa hali ya kawaida! Ni kama mtu aseme bei ya VW Golf ni kubwa kuliko VW Passat hilo haliwezekani kwa hali ya kawaida kwani hizo gari zinatengenezwa kwa wateja wawili tofauti wenye vipato viwili tofauti sasa unapoongelea mambo M5 hiyo gari special pia kwa wateja maalumu lkn unapoongelea BMW 1 au BMW3 bila mambo ya M sijui na nini ni kwamba BMW1 ni bei ya chini klk BMW3, BMW3 ina bei ya chini klk BMW5, BMW 5 ina bei ya chini klk BMW7 na sasa kuna BMW9 iko njiani nayo itakuwa na bei ya juu klk BMW 7 ni rahisi kihivyo tu na ndio maana zikawekwa hizo namba hazijawekwa bila ya sababu!

Ni kama vile Toyota Land Cruiser200 GXR haiwewezi kuwa na bei ya juu (kwa hali ya kawaida) kuliko Toyota Land Crusier 200 VX kwani hizi mbili zimetengenezwa kwa wateja wawili tofauti!

Wewe ndio uliekuwa unasema na bado umemjibu MTU hapo kuwa series 1/2/3 kuwa moja no ndogo! Na Mimi nakwambia kwenye bmw that's not the case! Kuna 1series bei kubwa kuliko 3 series kutegemeana na specs! Usibishe tu ndugu,nimeendesha BMW na nimefanya kazi BMW UK najua ninachoongea.
 
Wewe ndio uliekuwa unasema na bado umemjibu MTU hapo kuwa series 1/2/3 kuwa moja no ndogo! Na Mimi nakwambia kwenye bmw that's not the case! Kuna 1series bei kubwa kuliko 3 series kutegemeana na specs! Usibishe tu ndugu,nimeendesha BMW na nimefanya kazi BMW UK najua ninachoongea.


Haujui unachoongea kama ungejua unachoongea ungetambua ya kwamba Series 1<3< 5<... Na kama ushahidi leta hapa bei ya BMW 1 (ya mwaka 2015 ) na BMW 3(ya Mwaka 2015) halafu tulinganishe bei, hukohuko ulikofanya kazi hiyo ndiyo itamaliza ubishani!
 
#limetumbuka nimeshaelewa tatizo lako lipo wapi. Unadhani kuwa BMW 1 Series ni toleo la zamani kabla ya 3 na 5 series. Hapo ndipo tatizo lako lilipoanzia. Na hivyo inakufanya udhani bei ya 1 Series itakuwa ndogo kuliko ya 3 na 5 series wakati sio kweli.

5 Series zilianza kutengenezwa mwaka 1972 - Present.

3 Series zilianza kutengenezwa mwaka 1975 - Present.

1 Series zilianza kutengenezwa mwaka 2004 - Present.

Bei ya 1 Series ni kubwa kuliko bei za 3 & 5 Series. Sio kama unavyofikiri wewe. Nadhani wewe ni mgeni sana kwenye haya magari ya BMW!!

Ngoja nikupe mfano kwa prices za kila model..!!

image.jpg


wi377l.jpg


Sasa wewe mshikaji unafanya ulinganifu gani huo? Kumbe unaongelea magari yaliyotumika? Basi kama ni hivyo pia kuna Toyota raum zilizo na bei kubwa kuliko Bentley!

Unaelewa maana ya kulinganisha vitu? Kama unataka kujua leta hapa BMW1 (ya mwaka 2015 km 0) na BMW 3 (Ya mwaka 2015 km 0) halafu ndiyo tuendelee kuongea!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom