kkiwango
Senior Member
- Aug 27, 2007
- 173
- 14
Habarini wanandugu.
Msaada tutani,ninataka kununua au niseme kuagiza gari aina ya BMW series 1 au3. Ninaomba ushauri kwa wenye uzoefu na magari haya yasiyo TOYOTA. Hizi gari zafaa huku kwetu spea je zapatikana? unanishauri nini.
Ipi ni njia nzuri na ya usalama zaidi kuagiza gari na wapi naweza kupata kwa bei nzuri
Asanteee kwa ushauri
Msaada tutani,ninataka kununua au niseme kuagiza gari aina ya BMW series 1 au3. Ninaomba ushauri kwa wenye uzoefu na magari haya yasiyo TOYOTA. Hizi gari zafaa huku kwetu spea je zapatikana? unanishauri nini.
Ipi ni njia nzuri na ya usalama zaidi kuagiza gari na wapi naweza kupata kwa bei nzuri
Asanteee kwa ushauri