Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 583
Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.
kuna vitu hujui
Haujui kwamba kuna ushindani katika soko la dunia kupata wawekezaji. Unahisi wanatoka hapo mlimani tu na wanaletwa na shida zao.
Kwanza kuconvince mtu awekeze dollar billion 4 third world country ni issue, achilia mbali kuwaza what kind of bum is running that country.
$4 billion Sio aina ya mtaji unaokutana nao kila siku asubuhi, it's rare!
Sasa mtu anarisk hicho kiasi halafu unakurupuka tu na wimbo wa kisukuma unaitwa resource nationalism .
Resources nationalism?? my ass!
Simamia mkataba na taratibu mlizoweka na mwekezaji.
Msilite siasa kwenye mitaji ya watu.
Kuna watu wanaweka their life savings kwenye masoko ya hisa alafu wewe unashauriana tu na bashite muue mitaji yao.
Mbona wamekuja kusummon?Kazi kweli kweli!!!
Haki ni yetu lakini kwavile tunatumia wrong approach haki hiyo ni kama inataka kutugeukia wenyewe!
Swali ambalo hadi sasa kila nikiuliza sipati jibu ni kwanini hatukuwa bega kwa bega na Acacia wakati tunatafuta ukweli huu!!!???
Kwa mfano, kila kontena linalofunguliwa, Acacia nao wanakuwa hapo hapo wakishuhudia samples zikichukuliwa na kwenda kuzifanyia analysis. Hata huko maabara, Acacia wanakuwa na mtu wao!
Wakipata matokeo ya hizo samples, kisha zinaanza kupigwa hesabu kuangalia, based on the sample results, kontena moja litakuwa na wastani wa kiasi gani kwa madini fulani! Kote huko Acacia wangekuwepo!
Baada ya hapo, wanaangalia prevailing and historical mineral prices kisha wana-calculate kujua tangu 1998 hadi 2016, kila mwaka kwa madini husika yangetoa mapato kiasi gani!
Kote huko Acacia wanakuwepo!
Waswahili husema njia ya mwongo ni fupi!!! Kama Ripoti zote 2 ni sahihi na kama kote huko Acacia angekuwa ameshirikishwa; leo hii hawa jamaa wasingekuwa na pa kutokea!!!
Na wala wasingethubutu kutoa haya maripoti nje manake wizi ungekuwa umethibitishwa mbele ya macho yao na hivi sasa ingekuwa wanapigana kumaliza kimya kimya!!!!
Kinyume chake, from A to Z, ni watu wa upande mmoja peke yake ndio wameendesha uchunguzi halafu at the end of the day, unaibuka na ma-figure ambayo hata ukiwapa miaka 50 bado hawawezi kulipa!!!
Nani angeikubali ripoti kama hiyo?! Matokeo yake ndo haya akina Msigwa wanapigiwa simu wanakausha!!! Lakini kama kila hatua ingekuwa tumeenda nao; leo hii akina Msigwa wangekuwa na confidence manake jibu lingekuwa ni rahisi sana: "Tumesababisha pasi na shaka yoyote kwamba Acacia wametuibia miaka yote hii! Hili halina mjadala kwa sababu Acacia tuliwashirikisha hatua kwa hatua ya uchunguzi wetu!"
What if he won'tSymbion inamilikiwa na Serikali ya Marekani
Tutawalipa fidia kubwa sana
I will love to see Magufuli fall
Mbona hawaindoki?kuna vitu hujui
Haujui kwamba kuna ushindani katika soko la dunia kupata wawekezaji. Unahisi wanatoka hapo mlimani tu na wanaletwa na shida zao.
Kwanza kuconvince mtu awekeze dollar billion 4 third world country ni issue, achilia mbali kuwaza what kind of bum is running that country.
$4 billion Sio aina ya mtaji unaokutana nao kila siku asubuhi, it's rare!
Sasa mtu anarisk hicho kiasi halafu unakurupuka tu na wimbo wa kisukuma unaitwa resource nationalism .
Resources nationalism?? my ass!
Simamia mkataba na taratibu mlizoweka na mwekezaji.
Msilite siasa kwenye mitaji ya watu.
Kuna watu wanaweka their life savings kwenye masoko ya hisa alafu wewe unashauriana tu na bashite muue mitaji yao.
Aliyerogwa sio mimi pekee bali kwa sauti ya JPM anasema "tumelogwa na nani", kielelezo kwamba ni sote.Yaan ww sijui aliyekuloga amekufa!!! We've to stand for today and tomorrow not yesterday!!
Damn!!
shhhhhhh tulia wewe hii imekuwa baabkubwa watamjua tuuu JPM na watampa mwaliko ye si haendi kwao watamuita wenyewe na watajipendekeza sanaaa maana wameshikwa ugoniRubbish
Wapuuzi hawa wazungu
They own media, wataanza kumchafua mh Rais
Mh Rais
NA NOAH ZETU MTUPE...............
Hamuwezi kukosekana mnaoliombea mabaya taifa hili, hilo halitakuwa anguko la jpm bali ni la watanzania ukiwemo na wewe.Symbion inamilikiwa na Serikali ya Marekani
Tutawalipa fidia kubwa sana
I will love to see Magufuli fall
Hamuwezi kukosekana mnaoliombea mabaya taifa hili, hilo halitakuwa anguko la jpm bali ni la watanzania ukiwemo na wewe.
kwakuwa ni haki yetu, kamwe hata mungu hawezi kutuacha na ndiomana hata lile dua mlilokuwa mkiomba tushitakiwe, halikufanikiwa.
na hizi ni propaganda tu, zitapita lkn ni ukweli usiopingika kuwa Jpm amefanikiwa kwa kiwango kikubwa ktk hatua za kwenda kulinda rasilimali za taifa hili.
God bless Tz
Kazi kweli kweli!!!
Haki ni yetu lakini kwavile tunatumia wrong approach haki hiyo ni kama inataka kutugeukia wenyewe!
Swali ambalo hadi sasa kila nikiuliza sipati jibu ni kwanini hatukuwa bega kwa bega na Acacia wakati tunatafuta ukweli huu!!!???
Kwa mfano, kila kontena linalofunguliwa, Acacia nao wanakuwa hapo hapo wakishuhudia samples zikichukuliwa na kwenda kuzifanyia analysis. Hata huko maabara, Acacia wanakuwa na mtu wao!
Wakipata matokeo ya hizo samples, kisha zinaanza kupigwa hesabu kuangalia, based on the sample results, kontena moja litakuwa na wastani wa kiasi gani kwa madini fulani! Kote huko Acacia wangekuwepo!
Baada ya hapo, wanaangalia prevailing and historical mineral prices kisha wana-calculate kujua tangu 1998 hadi 2016, kila mwaka kwa madini husika yangetoa mapato kiasi gani!
Kote huko Acacia wanakuwepo!
Precisely. Maana yake ingeundwa a joint committee ya uchunguzi. Bila shaka kwenye haya mazungumzo hilo litafanyika.
Pandora's box!Anachokitaka Magufuli ni hicho Ili 2020 aseme hakufanikiwa kutimiza ahadi zake kutokana Na vikwazo vya wazungu. Hii ni next Mugabe movie. Maigizo ya kujifanya uzalendo. Alikuwa ndani baraza la mawaziri alikuwa bungeni Na kura Za Ndio alipiga. Hakuna mikataba mikubwa ambayo mawaziri wana sign bila mashauriano Na RAIS wa nchi. Vipi useme mawaziri waliosign mikataba wahojiwe bila marais wahusika kutokuhojiwa. Tumeshuhudia hapa project kubwa za nchi standard gauge Na manunuzi ya ndege akiwa mbele mbele , halafu Ndio tuseme kikwete Na mkapa walikuwa hawajui kinachoendelea ?
Why do you call them wapuuzi? Nani wapuuzi zaidi, sisi tuliowapa bure kwa sauti za ndiyoooo au wao waliopokea baada ya makubaliano kwamba sisi tusibaki na kitu.Rubbish
Wapuuzi hawa wazungu
They own media, wataanza kumchafua mh Rais
Mh Rais
Mimi huwa ninarudi nyuma enzi za Nyerere. Aliiona katiba ilivyokuwa mbovu na kusema akija rais dikteta wananchi wataumia. Lakini kwa bahati mbaya sana hakufanya lo lote. Here we are. Suffering.Kila nikimuona Chenge, mkapa na JK napata chuki isiyo ya kawaida,