Bloomberg: Makinikia yaifumbua macho dunia ya biashara

Bloomberg: Makinikia yaifumbua macho dunia ya biashara

...najua hujanielewa lakini tunavyoenda utaelewa.
Mwekezaji ku 'comply' na taratibu za nchi husika ina maana mtu anayewekeza China masharti atakayopewa kuyafuata ni tofauti na Amerika, Egypt, Kenya, South Afrika au DRC. Na yeye kwa sababu keshaona opportunity katika anachokihitaji atayafuata tu, mfano DRC ukienda kuwekeza maeneo ambayo serikali ina nguvu wanadai eti ni kuihakikishia famili na washirika wa watawala share yao na utapata ulinzi masaa 24 wakati ukivuna usikopanda na ukienda eneo ambako waasi wana nguvu basi wewe unamuona kamanda wa waasi na anakupa ulinzi na njia zote za eneo husika. Hapo usije kushangaa Joseph Kony aliwezaje kukusanya pembe za ndovu na kuziuza vipi ...na pesa alilipwaje na nani alimlipa ili kuendelea kumiliki siraha na kuwasumbua wananchi wasio na hatia. The more risk you take the more chances of making it ...urahisi wa kutajirika!
Vivyo hivyo na hapa acacia huenda walitanguliza 'conman' wao na akawahakikishia kuwa 'wakuu wanaingilika'. Na kwa vile hayo ndio yalikuwa mazingira waka 'comply' nayo wakaanza kuvuna na biashara yao ikishamiri huku sisi tukiendelea kukosa dawa na hata madawati ya kukalia!!! Naamini wangelikuwa Kenya pia wangefuata masharti ya huko vivyo hivyo wangelikuwa Japan au India. Inaumiza lakini ndio ukweli!

AMEN...............MAY THE LORD OUR GOD BLESS YOUR DAY MKUU.
 
hahahahahahaha, yaaan mabeberu wapuuzi sana,

Rais amishasema kuwa yeye hachukii wawekezaji wao waje ila hataki wawekezaji matapeli, tunataka win win situation, na fairness kwa kila upande, sio watunyonye kwa kigezo cha uwekezaji, kwanza ningekuwa magufuli ningetengeneza matajiri wa kitanzania kama 50 tu wanatosha, tusitegemee sana wawekezaji wa kizungu hawa wote ni matapeli.

Ni bora tuanze kutengeneza mitambo ya viwanda vyetu wenyewe kuliko kutegemea vya kwao,

SASA MKUU MITAMBO.................M-CCM MMOJA ALISEMA SAIZI YETU NI VIWANDA VYA JUICE............ CHA KUCHENJUA TUTAWEZA KWELI??????????????
 
Poor Whites! Discouraging investors? When you collect Taxes?
 
...najua hujanielewa lakini tunavyoenda utaelewa.
Mwekezaji ku 'comply' na taratibu za nchi husika ina maana mtu anayewekeza China masharti atakayopewa kuyafuata ni tofauti na Amerika, Egypt, Kenya, South Afrika au DRC. Na yeye kwa sababu keshaona opportunity katika anachokihitaji atayafuata tu, mfano DRC ukienda kuwekeza maeneo ambayo serikali ina nguvu wanadai eti ni kuihakikishia famili na washirika wa watawala share yao na utapata ulinzi masaa 24 wakati ukivuna usikopanda na ukienda eneo ambako waasi wana nguvu basi wewe unamuona kamanda wa waasi na anakupa ulinzi na njia zote za eneo husika. Hapo usije kushangaa Joseph Kony aliwezaje kukusanya pembe za ndovu na kuziuza vipi ...na pesa alilipwaje na nani alimlipa ili kuendelea kumiliki siraha na kuwasumbua wananchi wasio na hatia. The more risk you take the more chances of making it ...urahisi wa kutajirika!
Vivyo hivyo na hapa acacia huenda walitanguliza 'conman' wao na akawahakikishia kuwa 'wakuu wanaingilika'. Na kwa vile hayo ndio yalikuwa mazingira waka 'comply' nayo wakaanza kuvuna na biashara yao ikishamiri huku sisi tukiendelea kukosa dawa na hata madawati ya kukalia!!! Naamini wangelikuwa Kenya pia wangefuata masharti ya huko vivyo hivyo wangelikuwa Japan au India. Inaumiza lakini ndio ukweli!
kwani kosa la acaccia ni nini?
 
Kinachofanyika kwa sasa ni maigizo. Hizo takwimu ukizitazama tu unajua kuwa ni upuuzi. Hata kama tumeibiwa lakini siyo kwa kiwango hicho. Kutokujua unachoibiwa kunakuondolea hata ule uhalali wa kusema unaibiwa.

Tulitakiwa kuwa makini zaidi kwenye hili kama kweli tunataka manufaa ya kiuchumi. Labda kama nia ni manufaa ya kisiasa.
 
kuna vitu hujui
Haujui kwamba kuna ushindani katika soko la dunia kupata wawekezaji. Unahisi wanatoka hapo mlimani tu na wanaletwa na shida zao.

Kwanza kuconvince mtu awekeze dollar billion 4 third world country ni issue, achilia mbali kuwaza what kind of bum is running that country.

$4 billion Sio aina ya mtaji unaokutana nao kila siku asubuhi, it's rare!
Sasa mtu anarisk hicho kiasi halafu unakurupuka tu na wimbo wa kisukuma unaitwa resource nationalism .
Resources nationalism?? my ass!

Simamia mkataba na taratibu mlizoweka na mwekezaji.
Msilite siasa kwenye mitaji ya watu.
Kuna watu wanaweka their life savings kwenye masoko ya hisa alafu wewe unashauriana tu na bashite muue mitaji yao.


vp kuhusu MWADUI ambaye hajatulipa hata sent toka mwaka 47? acheni upuuzi wenu
 
Tuliuliza Magufuli kajiandaa vipi na vita vya kiuchumi vya kimataifa?

Wengine kuuliza tu tukaonekana wasaliti.

Haitoshi kuwa na nia nzuri. Tunahitaji execution plan.

They say the road to hell is paved with good intentions.
 
Kazi kweli kweli!!!

Haki ni yetu lakini kwavile tunatumia wrong approach haki hiyo ni kama inataka kutugeukia wenyewe!

Swali ambalo hadi sasa kila nikiuliza sipati jibu ni kwanini hatukuwa bega kwa bega na Acacia wakati tunatafuta ukweli huu!!!???

Kwa mfano, kila kontena linalofunguliwa, Acacia nao wanakuwa hapo hapo wakishuhudia samples zikichukuliwa na kwenda kuzifanyia analysis. Hata huko maabara, Acacia wanakuwa na mtu wao!

Wakipata matokeo ya hizo samples, kisha zinaanza kupigwa hesabu kuangalia, based on the sample results, kontena moja litakuwa na wastani wa kiasi gani kwa madini fulani! Kote huko Acacia wangekuwepo!

Baada ya hapo, wanaangalia prevailing and historical mineral prices kisha wana-calculate kujua tangu 1998 hadi 2016, kila mwaka kwa madini husika yangetoa mapato kiasi gani!

Kote huko Acacia wanakuwepo!

Waswahili husema njia ya mwongo ni fupi!!! Kama Ripoti zote 2 ni sahihi na kama kote huko Acacia angekuwa ameshirikishwa; leo hii hawa jamaa wasingekuwa na pa kutokea!!!

Na wala wasingethubutu kutoa haya maripoti nje manake wizi ungekuwa umethibitishwa mbele ya macho yao na hivi sasa ingekuwa wanapigana kumaliza kimya kimya!!!!

Kinyume chake, from A to Z, ni watu wa upande mmoja peke yake ndio wameendesha uchunguzi halafu at the end of the day, unaibuka na ma-figure ambayo hata ukiwapa miaka 50 bado hawawezi kulipa!!!

Nani angeikubali ripoti kama hiyo?! Matokeo yake ndo haya akina Msigwa wanapigiwa simu wanakausha!!! Lakini kama kila hatua ingekuwa tumeenda nao; leo hii akina Msigwa wangekuwa na confidence manake jibu lingekuwa ni rahisi sana: "Tumesababisha pasi na shaka yoyote kwamba Acacia wametuibia miaka yote hii! Hili halina mjadala kwa sababu Acacia tuliwashirikisha hatua kwa hatua ya uchunguzi wetu!"
Yani hata kama ripoti zote ziko sawa na rais yuko sawa, Acacia washachumba sana dhahabu.

Mgodi wa Buzwagi washakomba karibu kila kitu kinachoweza kuchimbwa economically.

Sasa nibkama unasubiri mtu akuibie mpakabkamaliza ndiyo unamfukuza kwa figisu.

Na unavyomfukuza kwa figisu, unamfukuza ovyo na kumpa nafasi aende mahakamani kukudai umlipe!
 
Kazi kweli kweli!!!

Haki ni yetu lakini kwavile tunatumia wrong approach haki hiyo ni kama inataka kutugeukia wenyewe!

Swali ambalo hadi sasa kila nikiuliza sipati jibu ni kwanini hatukuwa bega kwa bega na Acacia wakati tunatafuta ukweli huu!!!???

Kwa mfano, kila kontena linalofunguliwa, Acacia nao wanakuwa hapo hapo wakishuhudia samples zikichukuliwa na kwenda kuzifanyia analysis. Hata huko maabara, Acacia wanakuwa na mtu wao!

Wakipata matokeo ya hizo samples, kisha zinaanza kupigwa hesabu kuangalia, based on the sample results, kontena moja litakuwa na wastani wa kiasi gani kwa madini fulani! Kote huko Acacia wangekuwepo!

Baada ya hapo, wanaangalia prevailing and historical mineral prices kisha wana-calculate kujua tangu 1998 hadi 2016, kila mwaka kwa madini husika yangetoa mapato kiasi gani!

Kote huko Acacia wanakuwepo!

Waswahili husema njia ya mwongo ni fupi!!! Kama Ripoti zote 2 ni sahihi na kama kote huko Acacia angekuwa ameshirikishwa; leo hii hawa jamaa wasingekuwa na pa kutokea!!!

Na wala wasingethubutu kutoa haya maripoti nje manake wizi ungekuwa umethibitishwa mbele ya macho yao na hivi sasa ingekuwa wanapigana kumaliza kimya kimya!!!!

Kinyume chake, from A to Z, ni watu wa upande mmoja peke yake ndio wameendesha uchunguzi halafu at the end of the day, unaibuka na ma-figure ambayo hata ukiwapa miaka 50 bado hawawezi kulipa!!!u

Nani angeikubali ripoti kama hiyo?! Matokeo yake ndo haya akina Msigwa wanapigiwa simu wanakausha!!! Lakini kama kila hatua ingekuwa tumeenda nao; leo hii akina Msigwa wangekuwa na confidence manake jibu lingekuwa ni rahisi sana: "Tumesababisha pasi na shaka yoyote kwamba Acacia wametuibia miaka yote hii! Hili halina mjadala kwa sababu Acacia tuliwashirikisha hatua kwa hatua ya uchunguzi wetu!"
meandika ujinga a kiwango cha lami,,hivi we jamaa umeshamgundua mwizi wako na nji zake zote alizotumia kukuibia,then unamwita aje athibitishe what do u aspect? nikikuita nyang'au sintakuwa na kosa hata kidogo
 
vp kuhusu MWADUI ambaye hajatulipa hata sent toka mwaka 47? acheni upuuzi wenu
Mimi nitakwambia asilimia 100 matatizo ni ya viongozi wetu.
Wazungu unachowaelekeza mara nyingi ndio wanachofanya. Yani ukimkaribisha ukamwambia hii ndio nyumba yetu na tunaingilia dirishani, basi atapita.

Kama tumeamua kuongoza nchi kwa kufuata taratibu basi safi, hakuna mtanzania asiyependa.
Ila seek the truth first na ufanye kwa namna ambayo hautafrustrate future investment.
 
As much as the Country needs foreign Investors , the situations have to be win win ones. Dubious and exploitation tilted contracts have negative impact to host Nations hence they can do without.
 
vp kuhusu MWADUI ambaye hajatulipa hata sent toka mwaka 47? acheni upuuzi wenu

SASA AMBAYE ALITAKIWA KUFUATILIA NA KUHAKIKISHA TUNALIPWA NI NANI??????? HEBU TUWE REALISTIC....

KWANINI LIKIUNGUA TUKIWAKUMBUSHA KUWA MLIINGIA CHAKA MNATUONA SISI NDIO TULIWASABABISHA MKOSEE?????

HII NCHI MMEIDUMAZA NA KUIFUBAZA KABISA. JIANGALIENI MUJITATHMINI.
 
Lumumba acha kuwalaumu Wakenya wanajiweza kibajeti 90%. Pili ndiyo wawekezaji namba moja kwa nchi za Africa hapa kwetu .Tz bajet yetu, tunategemea wahisani 40%.
 
Ni vizuri wazungu wasijue muelekeo wa rais ili wasijue namna ya kutuzima... Wamezoea kuiba kila sector sasa wanaogopa kama sector zingne zitapekuliwa... I told them tutapekua mpaka chini ya vitanda ...


kazi mwanzo mwisho
 
Tuliuliza Magufuli kajiandaa vipi na vita vya kiuchumi vya kimataifa?

Wengine kuuliza tu tukaonekana wasaliti.

Haitishi kuwa na nia nzuri. Tunahitaji execution plan.

They say the road to hell is paved with good intentions.

SAA INGINE WANATUITA NYUMBU.............

WAKATI SHERIA ZIKIPITISHWA KWA HATI YA DHARURA, WAPINZANI WALIPINGA NA KUTOKA NJE.... SASA SISI NDIO TUNATUKANWA..

HIVI KWENYE CHOO CHA KULENGA UNAAMBIWA KUWA MAKINI WEWE UNAENDA KWA PUPA UNAKATA GOGO JUU, THEN UNAPOSAFISHA UNAJISIFU KUWA UNAJUA USAFI.......TUKIKUAMBIA TULIKUONYA UNATUTUSI.....

HAWA WATU WA AJABU KABISA KWA KWELI.
 
Back
Top Bottom