Asante sana ila kuna baadhi ya nchi ambazo kuna matatizo ya kuona .... dot spotsblog. Nimeshindwa kuingia kwenye hiyo website. Tafuta namna ya kutusaidia sisi pia. Kuna wanachama wengi wa Chadema huku..... ukitaka tunaweza kufungua tawi!!!!
Ila cha msingi kwa sasa ni namna ya kukichangia chama ili tushike dola mwaka 2015.