Jamani hizi shule za English medium zinajisahau sana kwa kulewa sifa. Mfano St. Lawrence imepoteza sifa mpaka inakufa sasa.
Blessed Hill sasa nayo inaelekea kufa kwa sababu dawati moja wanakaa wanafunzi 4, darasa lina watoto 70-80, sasa hapo mwalimu ataweza kumpitia mwanafunzi mmoja mmoja?
Kuna mtoto wa jirani yangu analalamika kila siku, hata kuandika mateso! Hakuna tofauti na shule za Kayumba.. Wazazi wengi wanaanza kutoa watoto wao.
Ushauri: Wasitamani hela sana kuliko ubora wa shule.
Blessed Hill sasa nayo inaelekea kufa kwa sababu dawati moja wanakaa wanafunzi 4, darasa lina watoto 70-80, sasa hapo mwalimu ataweza kumpitia mwanafunzi mmoja mmoja?
Kuna mtoto wa jirani yangu analalamika kila siku, hata kuandika mateso! Hakuna tofauti na shule za Kayumba.. Wazazi wengi wanaanza kutoa watoto wao.
Ushauri: Wasitamani hela sana kuliko ubora wa shule.