Wadau Naomba Msaada.
Nina BlackBerry (world edition; Verizon) niliyopewa zawadi na rafiki kama miezi mitatu sasa.
Kwa kuwa ni mara yangu ya kwanza kumiliki Blackberry, ilinichukua muda mrefu kuizoea (kupiga simu, sms, ku-recharge etc). Baada ya kujiona nimeizoea nikaenda ofisi za ZAIN kuhitaji kujiunga na mtandao wa internet lakini sikufanikiwa. Nilielezwa kuwa hawataweza kuniunganisha kwa kuwa hiyo BB imefungiwa.
Ombi langu kwenu ni kufahamu kama kuna namna yoyote ya kufanya au mtandao mwingine unaoweza kuniunganisha.
Natanguliza shukurani.
Ombi langu kwenu
Nina BlackBerry (world edition; Verizon) niliyopewa zawadi na rafiki kama miezi mitatu sasa.
Kwa kuwa ni mara yangu ya kwanza kumiliki Blackberry, ilinichukua muda mrefu kuizoea (kupiga simu, sms, ku-recharge etc). Baada ya kujiona nimeizoea nikaenda ofisi za ZAIN kuhitaji kujiunga na mtandao wa internet lakini sikufanikiwa. Nilielezwa kuwa hawataweza kuniunganisha kwa kuwa hiyo BB imefungiwa.
Ombi langu kwenu ni kufahamu kama kuna namna yoyote ya kufanya au mtandao mwingine unaoweza kuniunganisha.
Natanguliza shukurani.
Ombi langu kwenu