Miki123
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 288
- 502
Brackberry moja ya kampuni iliyouza smartphones kwa sehemu kubwa ya dunia. Unaikumbuka app ya BBM ilivyokuwa inaelekea kuipeteza facebook.
Ilifika hatua brackbeery ilikuwa na marketshare ya zaidi 50% marekani na 20% duniani, unajua ukiliteka soko la US kwa kiasi hiki basi hata huko kwingine ni rahisi.
Mtu aliyemiliki smartphone za brackberry alionekana mjanja, lakini kuanzia mwaka 2011 mambo yalikuwa tofauti, simu za iphone na android zilianza kutawala na soko la brackberry limekuwa likianguka kama maji yanayotelemka toka mlimani.
Leo hii hizi simu zinazidiwa hadi na tecno, mtu akiambiwa achague kati ya blackberry na tecno atachagua tecno nina uhakika.
BB walilazimika kuhmia kutumia android os baada ya kampuni ya kichina ya TCL kununua upande wa kuunda hardware lakini wapi hal si hali. Toleo la mwisho la Blackberry ni Blackberry key 2 le la mwaka 2018 hakuna toleo jipya, hii inaonyesha jamaa bado kabisa.
Hawa jamaa kwa nini wameshindwa kushindana kabisa?
Ilifika hatua brackbeery ilikuwa na marketshare ya zaidi 50% marekani na 20% duniani, unajua ukiliteka soko la US kwa kiasi hiki basi hata huko kwingine ni rahisi.
Mtu aliyemiliki smartphone za brackberry alionekana mjanja, lakini kuanzia mwaka 2011 mambo yalikuwa tofauti, simu za iphone na android zilianza kutawala na soko la brackberry limekuwa likianguka kama maji yanayotelemka toka mlimani.
Leo hii hizi simu zinazidiwa hadi na tecno, mtu akiambiwa achague kati ya blackberry na tecno atachagua tecno nina uhakika.
BB walilazimika kuhmia kutumia android os baada ya kampuni ya kichina ya TCL kununua upande wa kuunda hardware lakini wapi hal si hali. Toleo la mwisho la Blackberry ni Blackberry key 2 le la mwaka 2018 hakuna toleo jipya, hii inaonyesha jamaa bado kabisa.
Hawa jamaa kwa nini wameshindwa kushindana kabisa?