Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
- Thread starter
- #41
plesana mpita njia nimechafua thread yako.lakini tunawajibika tukiona mtu anawapotosha watu tuelimishane
Na huko kuelimishana kunatunufaisha, kwa hiyo tuendelee kujadili... lakini kwa lugha ya staha inayolenga kueleweshana