Zima halafu washa tena. Hiyo ni kawaida kwa pc. Ishawahi nitokea hasa ninapocheza game huwa nachomoa battery sasa umeme ukakatika inajizima. Ukiwasha inaonesha black screen. Unazima na kisha una washa ila lazima ichukue muda kidogo mpaka ikae sawaKurestart je, haioneshi kitu
Shukrani mkuu, ngoja nijaribuZima halafu washa tena. Hiyo ni kawaida kwa pc. Ishawahi nitokea hasa ninapocheza game huwa nachomoa battery sasa umeme ukakatika inajizima. Ukiwasha inaonesha black screen. Unazima na kisha una washa ila lazima ichukue muda kidogo mpaka ikae sawa
Ndio madhara ya kutumia windows za kuchakachua. Nunueni mpya na muwe mna upadate kila wakati kama hamna uwezo njooni kwenye ulimwengu wa linux...Zima halafu washa tena. Hiyo ni kawaida kwa pc. Ishawahi nitokea hasa ninapocheza game huwa nachomoa battery sasa umeme ukakatika inajizima. Ukiwasha inaonesha black screen. Unazima na kisha una washa ila lazima ichukue muda kidogo mpaka ikae sawa
Km itashindikana jaribu zaidi ya mara moja. ikishindiiana hapo repair window hii itasaidia kutopoteza vitu vyako hasa mafile.Shukrani mkuu, ngoja nijaribu
Ndio madhara ya kutumia windows za kuchakachua. Nunueni mpya na muwe mna upadate kila wakati kama hamna uwezo njooni kwenye ulimwengu wa linux...