Black Panther Leader Geronimo Pratt dies in Tanzania

geranimo pratt ni huyo aliyevaa t-shirt nyekundu. huyo mwenye rasta ni black panther mwingine anaitwa pete o'neil.
 
RIP Geronimo. Mkuu EMT, hiyo video naona kama ni ya Pete Oneal, walikuwa ndugu?

Samahani mkuu nilichanganya madesa. Nimeshafanya masahihisho. Thanks for the reminder
 
huyo mwenye rasta anaonekana kwenye movie moja inaitwa panther in africa, sijui kama nimepatia jina la movie.
 
Vijana someni kitabu kinaitwa "SOUL ON ICE" kuelewa juu ya BLACK Panther movement.
 
RIP Geronimo. Mkuu EMT, hiyo video naona kama ni ya Pete Oneal, walikuwa ndugu?

Pete Oneal na Geronimo walikua marafiki wakubwa. Pete ndio alitangulia kuja Tanzania akaji-establish USA River - Arusha na mke wake. Pete alikua mtu wa karibu sana kwa mzee "Matotola/meneja wa New Arusha Hotel miaka ya themanini na kama sikosei)." Wakati huo Geronimo alikua bado amewekwa jela nchini Marekani lakini walikua wanawasiliana na Pete (I believe through collect calls).

Baada ya miaka fulani (can't recall the year) Geronimo aliachiliwa na akapewa fidia ya pesa kiasi kikubwa na serikali ya Marekani. Geronimo akaondoka Marekani akahamia Tanzania ili-ku-mjoin Pete. Kati ya pesa alizopata akamsaidia Pete kujenga kisima cha maji nyumbani kwake Arusha. Geronimo na yeye akajenga nyumba nzuri na ya kisasa na kuji-establish Arusha.

More video/info kuhusu Pete O'neal bofya hapa chini.

Watch A Panther In Africa Online - VideoSurf Video Search
 
Yes, a very important black man in History of America, more important kuliko mtu yeyote anavyoweza kujua. Ni jirani yangu pale Embasenyi Arusha na alikuwa akijulikana sana kwa jina maarufu kama Mnegro. Ingawa wazungu wa wakati huo walieneza propaganda mbovu kuhusu mtu huyu, lakini ukweli utabaki pale pale alikuwa mpigania haki za watu wanyonge.

Kwa vijana, huyu ndiye baba wa Ubatizo wa Tupac Amaru Shakur mwanamziki maarufu wa muziki wa kizazi kipya wa Hip Hop (inayoweka vionjo vya rap) soma zaidi : Geronimo Pratt - Wikipedia, the free encyclopedia

Kabisa mkuu. Vijana wasishabikie Obama tuu. Geronimo Pratt ni moja ya watu waliochangia haya tunayoyaona sasa. And here are five Reasons Geronimo Pratt Matters Today

1. Geronimo Pratt was the godfather of Tupac Shakur, one of the most important figures in hip-hop history.

2. During his 27 years of imprisonment for a wrongful murder conviction, Geronimo Pratt served as an emblem of injustice who spurred political activists in America to action in a similar way that Nelson Mandela did in South Africa.

3. Despite being wrongly jailed for a crime he did not commit, upon his release Pratt refused to devolve into bitterness. He exemplified inspiring spirituality in the manner of Dr. Martin Luther King by stating: "I don't think bitterness has a place. I'm more understanding… Understanding doesn't leave any room for bitterness or anger."

4. After being freed from prison, Pratt dedicated his life to serving the African community he joined when he moved to Tanzania. As a further expression of his dedication to others, Pratt worked with the country's United African Alliance Community Center in Arusha to empower African Youth. Pratt transformed what could have been bitterness into community-building action.

5. Pratt also served two tours of duty in Vietnam, serving his country in such a manner that even the most conservative American would be proud. Ultimately, Geronimo Pratt was a patriot, working to make our country the best it could be, using whatever means necessary - as both a "real" soldier, and a soldier-revolutionary. In his interview before his death, he said that the last person he killed was in Vietnam.

As an icon of liberation and a worker for human liberty, Geronimo Pratt will always be remembered. A former Black Panther colleague, Pete O'Neal, had this to say about his friend:

"He's my hero. He was and will continue to be… Geronimo was a symbol of steadfast resistance against all that is considered wrong and improper. His whole life was dedicated to standing in opposition to oppression and exploitation. … He gave all that he had and his life, I believe, struggling, trying to help people lift themselves up."

May this hero rest in peace.

geronimo-pratt2-300x180.jpg


http://newsone.com/nation/astodghill/honoring-a-panther-top-five-reasons-why-geronimo-pratt-matters/
 
Nape anagawa pipi na Khanga za MAGAMBA...
Jamii ndio ya kwanza...sii Blog,Web,Media TV au Radio ya hapa Tz iliyo~report mpaka sasa...
Jamii Forums juu...
Thanks EMT...
 
Nape anagawa pipi na Khanga za MAGAMBA...
Jamii ndio ya kwanza...sii Blog,Web,Media TV au Radio ya hapa Tz iliyo~report mpaka sasa...
Jamii Forums juu...
Thanks EMT...

Shukrani mkuu. Inasikitisha mtu mashuhuri kama huyu alikuwa anaishi Tanzania na bado hakuna local media yoyote iliyoripoti kifo chake?
 
Shukrani mkuu. Inasikitisha mtu mashuhuri kama huyu alikuwa anaishi Tanzania na bado hakuna local media yoyote iliyoripoti kifo chake?

Huyu jamaa hafahamiki na wengi wa hapa bongo(tatizo ni kujisomea vitabu na kufuatilia mambo) but ni mtu muhimu sana ktk harakati za haki za wanyonge. Hapo kumuelewa kwa undani inabidi umsubiri Ahmed Rajabu ndani ya Raiamwema next wk.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
jamii yetu imekuwa sedated na ujinga kiasi cha kuwa hata hizo sauti ambazo ni alternative kama JF nazo tayari zimetumbukia kwenye matrix ya illusion kuwa maybe things might get better tukibishana na kutupiana matusi

Jibu ni kuwa kuna possibility hata wenyewe hawamjui alikuwa ni nani na hii ndio generation ambayo sisi watu tulioenda umri inabidi tuelewane nayo japo tutatukanwa etc
 
Shukrani mkuu. Inasikitisha mtu mashuhuri kama huyu alikuwa anaishi Tanzania na bado hakuna local media yoyote iliyoripoti kifo chake?
Local media ndio hao akina Pasco ambao nao washaingia kwenye orgy ya CHADEMA vs CCM as if thats what we need

Maybe one needs to set up an online newspaper na kuachana na the mainstream media yetu
 
huyu jamaa alikuwa anafanya movement nyingi za maendeleo walikuwa wanatoa yeye na peter onell course ya kompyuta na ushonaji bure kwa vijana pale kwenye kituo cha UAAC imbaseni kwa mnegro pia wana huduma ya free library kwa wanafunzi na imewasaidia sana vijana toka vijiji vya imbaseni, ngurdoto na ngongongare pia wanafunzi wa university of arusha wanatumia sana library yake pia waliinfluence uanzishwaji wa free library nyingine maeneo hayo inaitwa jifundishe free library. Pia amehusika sana ktk ukuzaji wa vipaji na muziki wa hiphop arusha. Alikuwa na uhusiano wa karibu JCB na watengwa, pia walishasimamia project nyingi za hiphop 4 development hata kuna kazi FidQ amefanyia kwao, pia pale UAAC kwa mnegro kuna studio nzuri tu ambayo vijana wengi especially undergrounds walikuwa wanarecord for free, kawapa tough wasanii wengi sana wa A taraaa ka kina D-WII, hata Nakaaya Sumary wamemjenga sana kimuziki hata yule msela wake wa dead prez Nakaya walimeet naye kwa Geranimo (RIP), alikuwa amejenga nyumba yake maeneo ya Imbaseni opposite na Anex hostels za University of Arusha i know him personally he was good and charming and he speaks arushan swahili vizuri may his soul rest in peace. Ni pigo kwa vijana, wanaharakati na hiphop funs all over Rchuga brother had departed for justice but struggles continues for free black race all over the world na ndo hicho aliamini sana there is no equality and freedom for black race bila freedom of mind away from white's mind poison
 
  • Thanks
Reactions: EMT
I read a book on the black panther as a sect. those guys were determined. they were organized as well with strong leadership, network and sources of income amid white discriminative supremacy
 
Back
Top Bottom