Katika pillars za uchawi au magics. Spells za black magic hazizuiliki kwa kutumia dawa zilizo na madhumuni ya kuponya, au hasa hasa White magician hawezi kupigana na black magician kwa kutumia njia za White magic. Ndo maana wao wana msemo kuwa "Black magic suppress all magic". Spells za black magic ni hatari sana na kama unataka kupambana nazo basi njia rahisi ni kutumia spells za black magic sio white magic tena.Sawa ila vp uliposema kwamba uchawi mweupe hauwezi kuzuia athari za uchawi mweusi? Maana kama tunakubaliana kuwa haya majina ya Black na white ni tofauti za matumizi tu ila uchawi ni uleule iweje useme uchawi mweupe hauwezi kuzuia athari za uchawi mweusi?
Umesema uchawi mweupe kwa ajili ya tiba na mweusi kudhuru watu,kwahiyo kama ukiathiriwa na uchawi mweusi ili utibiwe inatakiwa utumie uchawi uleule mweusi tena?Katika pillars za uchawi au magics. Spells za black magic hazizuiliki kwa kutumia dawa zilizo na madhumuni ya kuponya, au hasa hasa White magician hawezi kupigana na black magician kwa kutumia njia za White magic. Ndo maana wao wana msemo kuwa "Black magic suppress all magic". Spells za black magic ni hatari sana na kama unataka kupambana nazo basi njia rahisi ni kutumia spells za black magic sio white magic tena.
Sent using Infinix hot 4 lite
Sio lazima black magic itumike lakini wengi wanakuwa na traits za black magic sio kwamba anayekutibu ni completely White magicianUmesema uchawi mweupe kwa ajili ya tiba na mweusi kudhuru watu,kwahiyo kama ukiathiriwa na uchawi mweusi ili utibiwe inatakiwa utumie uchawi uleule mweusi tena?
Mfano rahisi tu kwenye ishu ya Voodoo puppets au Misukule hapo unadhani Kuna namna ya kutumia White magic kuzuia The effects za spells zaoUmesema uchawi mweupe kwa ajili ya tiba na mweusi kudhuru watu,kwahiyo kama ukiathiriwa na uchawi mweusi ili utibiwe inatakiwa utumie uchawi uleule mweusi tena?
Ndio ila kuna baadhi wanarithishwa mkuuHuu ni uchawi wa kusoma kitabu (spells)?unahitaji elimu ya nyota?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwenye castle wrd yani krne za zamani huko watu walikuwa wanaamini sana magic ,inasemekana kuna watu waliozaliwana vipawa hvyo ni gift kutoka wa sir god na hii ni kama karama ambayo hata ssa watu wanazo mnawaita wachungaji hii ndio white magic mtu hachagui kuwa nayo inamchagua na kuitumia kwa manufaa yake na y wengine
lakini black magic inaweza kuwa missuse of white magic yan blessed/gifted person akatumia karama yake in evil way pia inaweza ikawa kwa kununua kupewa au kuiba majic
simulizi za zamani za cameloth na king Urthur and the round table zipo kinaga ubaga juu y haya mambo ukushindwa kusoma vitabu angalia hata series ya merlin
utaelewa
Seventh son ndo kama wameonesha kila kitu vile [emoji2] [emoji2] [emoji2]