Zimbabwe baada ya uhuru wazungu hawakuwa na power. Cha zaidi ni kwamba mugabe aliintroduce sheria kali za kuwabana wazungu ikiwamo kuwanyang'anya mali zao na kuwapa waafrika.Mbona hata Zimbabwe walifanyiws hivyo na wazungu, Zanzibar pia walifanyiwa hivyo na Waarabu
Basically waafrica wote walikuwa wakibaguliwa kwa rangi na mzungu uwe South Africa au Kenya au pengine
Sasa leo hii nianze tabia za wizi, kuuza madawa, kuzaa na kutelekeza watoto na sababu eti ni babu yangu alibaguliwa na wazungu itakuwa sababu ya hovyo sana
Unaifahamu UDI, Unilateral Declaration of Independence ya iliyofanywa na Ian Smith mwaka 1965?Zimbabwe baada ya uhuru wazungu hawakuwa na power. Cha zaidi ni kwamba mugabe aliintroduce sheria kali za kuwabana wazungu ikiwamo kuwanyang'anya mali zao na kuwapa waafrika.
Nadhani haujafuatilia history ya hizi nchi za Africa especially hiyo ya Zimbabwe na South Africa ukajua walipitia maisha gani kabla na baada ya uhuru.
Hebu nipe mifano ya ubaguzi wa wazi kama uliotokea hapo South Africa.Unaifahamu UDI, Unilateral Declaration of Independence ya iliyofanywa na Ian Smith mwaka 1965?
Zimbabwe ilipata 'uhuru' lakini ikawa chini ya minority rule kama South Africa, hadi mwaka 1980 ndio ikawa na majority rule
Na point hapa sio Zimbabwe tu, Waafrica wote wamepitia segregation na kazi za shuruba wakati wa ukoloni na kamwe hiyo haiwezi kutumika kama excuse ya kubagua Waafrica wenzio au binadamu yoyote yule
Waarabu hawakuwa na ubaguzi huo!! Watunzi wa vitabu vya historia wengi walitwist historia ya waarabu ktk afrika ya mashariki. Wabantu waliishi na waarabu ktk pwani ya afrika mashariki kwa zaidi ya miaka 800 ila hakukuwa na ubaguzina mateso kama waliyokuja nayo wakoloni wa kizungu.Mbona hata Zimbabwe walifanyiws hivyo na wazungu, Zanzibar pia walifanyiwa hivyo na Waarabu
Basically waafrica wote walikuwa wakibaguliwa kwa rangi na mzungu uwe South Africa au Kenya au pengine
Tz kulikuwa na hoteli za wazungu na za weusi, hata shule pia, so segregation ilikuwepo Tanganyika kabla ya uhuru
Sasa leo hii nianze tabia za wizi, kuuza madawa, kuzaa na kutelekeza watoto na sababu eti ni babu yangu alibaguliwa na wazungu itakuwa sababu ya hovyo sana
Wewe itakuwa Muislam 😂😂Waarabu hawakuwa na ubaguzi huo!! Watunzi wa vitabu vya historia wengi walitwist historia ya waarabu ktk afrika ya mashariki. Wabantu waliishi na waarabu ktk pwani ya afrika mashariki kwa zaidi ya miaka 800 ila hakukuwa na ubaguzina mateso kama waliyokuja nayo wakoloni wa kizungu.
Mfano mzuri tu ni makatili wa kireno na kijerumani jinsi walivyokuwa wakivamia maeneo ya wabantu kuwaua na kuwabaka wanawake na wengine kupelekwa utumwani.
Niambie vita hata moja ambayo wabantu walipigana na waarabu ktk hii pwani ya afrika mashariki licha ya kuwa wameishi pamoja zaidi ya miaka 800
Naona unaenjoy penzi la mwarabu huko omani..kimsingi waarabu ni makatili na wabaguzi wakutupa..wamehasi sana babu zetu.Waarabu hawakuwa na ubaguzi huo!! Watunzi wa vitabu vya historia wengi walitwist historia ya waarabu ktk afrika ya mashariki. Wabantu waliishi na waarabu ktk pwani ya afrika mashariki kwa zaidi ya miaka 800 ila hakukuwa na ubaguzina mateso kama waliyokuja nayo wakoloni wa kizungu.
Mfano mzuri tu ni makatili wa kireno na kijerumani jinsi walivyokuwa wakivamia maeneo ya wabantu kuwaua na kuwabaka wanawake na wengine kupelekwa utumwani.
Niambie vita hata moja ambayo wabantu walipigana na waarabu ktk hii pwani ya afrika mashariki licha ya kuwa wameishi pamoja zaidi ya miaka 800
We choko unakatwa kinyeo na wajerumani...!!! Una ushahidi gani kuwa babu yako alihasiwa??Naona unaenjoy penzi la mwarabu huko omani..kimsingi waarabu ni makatili na wabaguzi wakutupa..wamehasi sana babu zetu.
Njoo bongo niambie weusi wangapi wameoa waarabu naosemea waarabu halisi sio hao waarabu koko wa tabora.
Acheni kujipendekeza kwa hao wabaguzi.
#MaendeleoHayanaChama
Mbona hata Zimbabwe walifanyiws hivyo na wazungu, Zanzibar pia walifanyiwa hivyo na Waarabu
Basically waafrica wote walikuwa wakibaguliwa kwa rangi na mzungu uwe South Africa au Kenya au pengine
Tz kulikuwa na hoteli za wazungu na za weusi, hata shule pia, so segregation ilikuwepo Tanganyika kabla ya uhuru
Sasa leo hii nianze tabia za wizi, kuuza madawa, kuzaa na kutelekeza watoto na sababu eti ni babu yangu alibaguliwa na wazungu itakuwa sababu ya hovyo sana
Ati waarabu hawakuwa na ubaguzi huo. Waarabu hawakuwa na mateso?Waarabu hawakuwa na ubaguzi huo!! Watunzi wa vitabu vya historia wengi walitwist historia ya waarabu ktk afrika ya mashariki. Wabantu waliishi na waarabu ktk pwani ya afrika mashariki kwa zaidi ya miaka 800 ila hakukuwa na ubaguzina mateso kama waliyokuja nayo wakoloni wa kizungu.
Mfano mzuri tu ni makatili wa kireno na kijerumani jinsi walivyokuwa wakivamia maeneo ya wabantu kuwaua na kuwabaka wanawake na wengine kupelekwa utumwani.
Niambie vita hata moja ambayo wabantu walipigana na waarabu ktk hii pwani ya afrika mashariki licha ya kuwa wameishi pamoja zaidi ya miaka 800
Hujakutana na wajamaica na Haitian wana tabia hizoWasalaam
Mlioishi na hawa jamaa kwanini Tabia zao zinafanana ilihali wanaishi nchi na bara tofauti.
Wote ni wabaguzi , ni heri amsaidie mtu mweupe kuliko mweusi mwenzie.
Wana unyani Fulani hivi wa kujisikia na kujiona wao ni blacks daraja la kwanza.
Uvivu , hili halipingiki angalia maeneo wanayoishi ni watu ambao sio wa kujituma kufanya kazi.
Ugomvi na ukorofi, tunaona kwenye movie zao au harakati zao kwenye media.
Kwenye mapenzi, we mweusi wa kutoka nchi nyingine ni kupata mpenzi wa kizungu ila sio black mwenzako.
Kiujumla wanafanana kwa vitu vingi.
Mlioishi nao kwanini wanafanana kitabia ?
Wote wamepitia Racism