Bkra siyo certificate ya mke bora

Bkra siyo certificate ya mke bora

Hata wasio bikra walikuwa bikra, hata hawa jf wote walikuwa bikra
 
Acha kujidanganya, Kitendo cha kuwa bikra tayari kinabeba heshima, kujitunza, nidhamu na mambo yote unayosema hapo.

Huwez kumkuta Malaya afu ni bikra.
Huwez kumkuta ni mlevi afu ni bikra.
Huwez kumkutana hana adabu afu ni bikra
Nakubaliana na wewe kwenye umalaya na ulevi ila hapo kwenye adabu sio kweli 😁
 
Walioolewa na Bikra zao wengi wako vizuri Kusema kweli, Kila kitu kina exception. Wahenga sio wapumbavu kwenye mambo Yao, kama mtu kaoa chakaramu yeye apambane naye Kwani sio kosa wala haina maana kwamba ndoa itakuwa mbaya..
 
I hope mtoa mada unazingatia bikra za pande zote mbili yaani mwanamke na mwanaume...wote tuwe bikra si ndiyo?
 
Mimi huu mjadala huwa siuelewi. Sikatai bikra Inaongeza thamani ya mwanamke. Lakini hebu tuangalie na mazingira yenyewe. Wanaume tumekuwa tukihukumu wanawake kwa situation ambazo tumetengeneza sisi wenyewe. Wasichana wengi hupoteza bikra wakiwa bado wadogo kwenye teenages na ukifuatilia ni wanaume ndio wanawashawishi na kuwatoa. Hata binti wa watu akikataa bado mwanaume hutumia mbinu nyingi kumshwishi Mpaka kumtoa bikra halafu baadaye humuacha huyo binti na trauma... So tusilaumu pekee unless uwe hujawahi kuharibu bikra ya mtu.
Hii comment, Wanaume watajifanya hawaioni, ba wakiiiona watakuambia wee ni SIMP.
 
Siwatetei Ila naeleza uhalisia, huo umri watu wengi wako kwenye exploration wanajaribu mambo mapya, hakuna maturity yoyote, Wachache wanaojitahidi kukaza wakifika Chuo zitatolewa tu. Tukubali hii jamii ya utandawazi Hilo ni suala gumu. Unless wanaume nao watulie wasubiri Ndoa ndio wasex, basi bikra zitakuwa nyingi sana
Hawawezi kukuelewa hapa.
 
Mimi huu mjadala huwa siuelewi. Sikatai bikra Inaongeza thamani ya mwanamke. Lakini hebu tuangalie na mazingira yenyewe. Wanaume tumekuwa tukihukumu wanawake kwa situation ambazo tumetengeneza sisi wenyewe. Wasichana wengi hupoteza bikra wakiwa bado wadogo kwenye teenages na ukifuatilia ni wanaume ndio wanawashawishi na kuwatoa. Hata binti wa watu akikataa bado mwanaume hutumia mbinu nyingi kumshwishi Mpaka kumtoa bikra halafu baadaye humuacha huyo binti na trauma... So tusilaumu pekee unless uwe hujawahi kuharibu bikra ya mtu.
Kila upande umeamua kuchagua standard zake pale linapokuja swala la kuanzisha mahusiano.

Mwanamke ameangalia vigezo vyake na kuamua kuvipa kipaumbele anapochagua mwanaume wakuwa naye.

Huyo mwanamke aliyetolewa bikra, pengine wewe ungemfuata angekukataa kwasababu hujafikia vigezo anavyovitaka.

Pengine hizo sababu ambazo wewe umezitaja kama mbinu za kumshawishi mpaka akubali, zipo ndani ya vile vigezo vyake alivyoviweka yeye.

Sasa sijajua kwanini mwanaume akiweka standard zake za kumchagua mwanamke wa kuoa aonekane mbaya?
 
Hii comment, Wanaume watajifanya hawaioni, ba wakiiiona watakuambia wee ni SIMP.
Wanaume tujifanye hatujaona hiyo comment kwa lipi? Hakuna anayebisha kwamba bikra ni adimu. Hoja ya msingi ni kwamba bikra ni ishara ya mwanamke ambaye hana makandokando ya kitabia yanayotokana na historia yake ya kimahusiano ya kimapenzi. Kwasababu hiyo bikra ni ya muhimu japo si kigezo pekee cha mke bora.
 
Wanaume tujifanye hatujaona hiyo comment kwa lipi? Hakuna anayebisha kwamba bikra ni adimu. Hoja ya msingi ni kwamba bikra ni ishara ya mwanamke ambaye hana makandokando ya kitabia yanayotokana na historia yake ya kimahusiano ya kimapenzi. Kwasababu hiyo bikra ni ya muhimu japo si kigezo pekee cha mke bora.
Basi sawaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom