Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Huyu Bishop katika Tabiri zake zote aliwahi zitoa , zilitimia.
Leo amesema, Tena akisema, Vyombo vyote viiweke habari hii mitandaoni kwakua habahatishi.
Ni kua " Watu walioko kwenye Mfumo na wanaompenda Mungu wamekataa katakata kuendelea kushuhudia masuala ya kidhalimu ya Utekaji na UUAJI yanayoendelea.
Watu hao wameamua Rasimi kuanzisha Vita dhidi ya Wahusika wa Udhalimu huo.
Na kwamba Kati ya Mwezi huu wa Sita Hadi mwezi 8 ndio utakua Mwisho mwisho wa Utekaji na Watekaji wake.
Habari gani Kwa Watekaji? Bishop Kasema, Watekaji watauliwa wooooote yaan watekaji wote kwenye hiko kikundi watauliwa wooote kupoteza Ushahidi !!.
Bishop anawacheka 'Wametumiwa kama Pundaaa alafu wanauliwa kizembe '.
Bishop anasisitiza 'Maamuzi yameshafanyika ya kuumaliza Utekaji na Watekaji wake '.
Hapo ndipo mtaelewa, Kwann Gwajima kafungiwa Kanisa Leo, na Chuma inakaidi inaendeleà na Ibada yake kama kawaida 🤣🤣
Freedom is Coming !!!!
Leo amesema, Tena akisema, Vyombo vyote viiweke habari hii mitandaoni kwakua habahatishi.
Ni kua " Watu walioko kwenye Mfumo na wanaompenda Mungu wamekataa katakata kuendelea kushuhudia masuala ya kidhalimu ya Utekaji na UUAJI yanayoendelea.
Watu hao wameamua Rasimi kuanzisha Vita dhidi ya Wahusika wa Udhalimu huo.
Na kwamba Kati ya Mwezi huu wa Sita Hadi mwezi 8 ndio utakua Mwisho mwisho wa Utekaji na Watekaji wake.
Habari gani Kwa Watekaji? Bishop Kasema, Watekaji watauliwa wooooote yaan watekaji wote kwenye hiko kikundi watauliwa wooote kupoteza Ushahidi !!.
Bishop anawacheka 'Wametumiwa kama Pundaaa alafu wanauliwa kizembe '.
Bishop anasisitiza 'Maamuzi yameshafanyika ya kuumaliza Utekaji na Watekaji wake '.
Hapo ndipo mtaelewa, Kwann Gwajima kafungiwa Kanisa Leo, na Chuma inakaidi inaendeleà na Ibada yake kama kawaida 🤣🤣
Freedom is Coming !!!!