Gwankaja Gwakilingo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 1,996
- 615
huyu kakobe hana maana yoyote...ndio maana wachungaji wake walimshtaki kwa kula sadaka
Ni mchungaji gan asiekula sadaka?
huyu kakobe hana maana yoyote...ndio maana wachungaji wake walimshtaki kwa kula sadaka
Ehhh...ati??!!
mkuu nimeipenda sana hii sentensi "ANAYEPINGA SERIKALI YA TANGANYIKA NI MHAMIAJI HARAMU"
Nikiuchungulia ulimwengu wa roho nazisikia tarumbeta zinalia na Mungu aliyeumba Tanganyika analiambia lile joka la zamani liitwalo Ibilisi na shetani, 'itapike Tanganyika na mali zake ambazo ulikuwa unazitoa kwa wale wanaotoa kafara za watoto kwako, nimechoka na vifo vya watoto ambavyo umewadanganya watu wangu kuwa ni matatizo ya kiafya'.
Mtetemela!... Hafai kwa lolote!
Nikiuchungulia ulimwengu wa roho nazisikia tarumbeta zinalia na Mungu aliyeumba Tanganyika analiambia lile joka la zamani liitwalo Ibilisi na shetani, 'itapike Tanganyika na mali zake ambazo ulikuwa unazitoa kwa wale wanaotoa kafara za watoto kwako, nimechoka na vifo vya watoto ambavyo umewadanganya watu wangu kuwa ni matatizo ya kiafya'.
Amina majeshi lazima wapigwe hawaAmina majeshi...
Wamepigwa wamepigwa, wamepigwa kabisaaaaaaaaaaaa............
yes, kwa sababu inasemekana wakazi wa bagamoyo ni MASALIA YA WATUMWA GOIGOI/DHAIFU kutoka congo/burundi, waliachwa baada hawawezi kufika kwenye soko la watumwa la zanzibar! hawawezi kuwa na uchungu na tanganyika!
Kombo nimeingia ulimwengu halisi kuliko huu unaouona wewe, ulimwengu ambao shetani yupo extremely effective for those who do not use the blood of Jesus.Wagalatia mna mambo !...........total myopia !
Safi sana kakobe,washirikishe na wapentekost wenzako kuitetea tanganyika na kutetea rasmu ya warioba
uwakumbushe jinsi serikali ilivyotupa kapuni majina yenu katika bunge maalum na kuwachagua waganga wa kienyeji.
Kombo nimeingia ulimwengu halisi kuliko huu unaouona wewe, ulimwengu ambao shetani yupo extremely effective for those who do not use the blood of Jesus.
Kama mchungaji ana wajibu wa kuwapa maarifa ya kiMungu waumini wake. Na ameweza kuwaonesha leo kuwa mpango wa Mungu ni kurudi kwa Tanganyika. Naongeza maarifa zaidi kuwa Tanganyika ilitolewa kafara kwa Lucifer katika zindiko la nchi, sasa mfalme wa utukufu anakaribia kurudi ni lazima Lucifer aitapike Tanganyika apende asipende.
Kakobe aliendelea kueleza, "Mungu pekee ndiye asiyefanya kabisa makosa, lakini hakuna mwanadamu hata mmoja duniani, ambaye amewahi kuishi bila kufanya makosa (MHUBIRI 7:20). Kuna upepo unaovuma ambao unataka tuamini kwamba Nyerere hakuwahi kufanya kabisa makosa. Roho hii, ni roho mbaya sana ambayo inataka tumkubali Nyerere kuwa ni Mungu ambaye hakosei! Tusiwe kama Korea Kaskazini wasiokubali dini za Mwenyezi Mungu tunazozijua, ambao walimtangaza rasmi Rais wao Kim Il Sung kuwa mungu wao. Pamoja na kwamba Rais huyu alifariki mwaka 1994, mpaka leo anajulikana kwamba ni "Rais wa milele" wa Korea Kaskazini! - Unaweza kuangalia taarifa hizi za mungu huyu wa Korea Kaskazini, kwa ku-Google, "North Korea's cult of personality - Wikipedia". Baada ya maneno haya, Kakobe alisema kamwe hayupo tayari kumwabudu "mungu Nyerere", kisha akasema mara kumi mfululizo,"NYERERE SIYO MUNGU". Na kuendelea,"Ni kweli kwamba Nyerere alikuwa Kiongozi wa kipekee, mazuri au mema aliyolifanyia Taifa letu, ni mengi sana kwa mbali ikilinganishwa na makosa yake. Hata hivyo, alifanya makosa kadha, na mengine mabaya sana, likiwamo hili la kutuondolea urithi wa Tanganyika yetu, kinyume na mpango wa Mungu".
Ina maana mpaka huyu nanihii nae ni mmojawapo?
Hebu Kakobe atuulizie mbona yule Dada anataka kutupiga puu ! lile ziwa Nyasa ?!
===>Kaamua kusema ukweli kuwa
View attachment 152876
Itazaliwa muda si mrefu,ni suala la muda tu,japo kwa taabu na fitina za magamba!
Kakobe aunganishe Kanisa lake na Lusekelo, waunde serikali moja. Yesu ni yule yule !