Hawa jamaa nimekaa nao zaidi ya miaka 20! Na nimewasoma vizuri mno.
Tunaishi nao ki machale tu! Walipokuja kwetu walikuwa wanauma huku wanapuliza!
Na sisi tunajaribu kufanya kama wao.
Teh teh teh teh!
Waswahili wanasema ndege mjanja hunaswa na mtego mbovu.
Hizo ni mali asili zetu! We ukiona mzungu anapita karibu na hao ndege "PIGA MANATI TU"
Hawana maana hawa!
amavubi... Aka...the yellow vented bulbul... Kuna msitu uko kati ya njombe na mbeya.. Una itwa the gods paradise... Una ndege huwa anatokea australia kuja kuzalia kwenye huo msitu na kisha hudi australi.. Je una habari zaidi ndugu??? Plus super thanks n hugs aisee?? Thumbs up jembeee
I can get very emotional on these things ndugu. Huyu ndege yupo captivity. The more we do things like this the more nature is destroyed. Ningekuwa na uwezo ningepiga adhabu mbaya sana wauzaji wa pets from the wild. Sipingi kabisa kabisa matumizi ya wildife kama chakula au pets, lakini hili linatakiwa kufanyika kwa umakini mkubwa sana pasipo ku-tip the balance wildlife ikatoweka katika form yake ya asili.
Nakubaliana nawe kabisa ndugu. Mungu akiniweka hai long enough nataka kutengeza project moja iwe mchango wangu kupreserve nature asilia sehemu fulani katika nchi yetu. Well, maybe I should use the words 'I will attempt!" Like you, I truly love nature!
Vijana wanaozaliwa siku hizi hawatakaa wajue ni kitu gani wanakosa bila sisi tuliokuwapo wakati ule Tanganyika ikiwa truly wild kuwaambia au hata kuwaonesha ilikuwaje. I wish so much to do a nature preserve project somewhere I know, for my beloved grandchild hidden somewhere...before I go.
hapana si kuhifadhi kwa maana ya kuwafuga, kuna kitu inaitwa IBA, je umeisikia?
nadhani ingeanza na kampeni ya uhifadhi wa ndege hasa kwa MAPORI TENGEFU
Nakubaliana nawe kabisa ndugu. Mungu akiniweka hai long enough nataka kutengeza project moja iwe mchango wangu kupreserve nature asilia sehemu fulani katika nchi yetu. Well, maybe I should use the words 'I will attempt!" Like you, I truly love nature!
Vijana wanaozaliwa siku hizi hawatakaa wajue ni kitu gani wanakosa bila sisi tuliokuwapo wakati ule Tanganyika ikiwa truly wild kuwaambia au hata kuwaonesha ilikuwaje. I wish so much to do a nature preserve project somewhere I know, for my beloved grandchild hidden somewhere...before I go.
yaani kabisa ndugu yangu... Mie si wa zamani sana... Ila kulingana na madhara ya usasa, nimetafakari nikaona nature is the best friend of living a happy and healthy life. Kuna mbuga ya hifadhi ambayo haina hata barabara ya lami wala haieleweki as in terms of kuwa na malazi kamili. Ni mbuga ambayo ina species tofauti za maua na pia ndio pori pekee lenye ndege wahamiaji... Tourist birds from australia to here..wanabreed kisha wanarudi kwao... Jamani.. I do pity my country..for we have everything and yet we are so far behind... Yaani naumia mpk.... Mungu tu atufanyie mageuzi...
mkuu usikonde, Bird Life International wameanzisha kampeni ya kulinda maeneo ambayo ndege adimu bado wanaonkena, kuna vigezo ambavyo vikitimia hilo eneo linajulikana kama Important Bird Area (IBA)sijaisikia hiyo IBA walaa.... eee mungu wa yakobo naomba hiyo IBA isiwe ni International Bird Abolition! enhee, em nambie sasa hiyo IBA ndo vitu gani?
mkuu usikonde, Bird Life International wameanzisha kampeni ya kulinda maeneo ambayo ndege adimu bado wanaonkena, kuna vigezo ambavyo vikitimia hilo eneo linajulikana kama Important Bird Area (IBA)