Birds, So Cute

Birds, So Cute

lakini hawachukui chochote zaidi ya PICHA
Hawa jamaa nimekaa nao zaidi ya miaka 20! Na nimewasoma vizuri mno.
Tunaishi nao ki machale tu! Walipokuja kwetu walikuwa wanauma huku wanapuliza!
Na sisi tunajaribu kufanya kama wao.
Teh teh teh teh!
Waswahili wanasema ndege mjanja hunaswa na mtego mbovu.
Hizo ni mali asili zetu! We ukiona mzungu anapita karibu na hao ndege "PIGA MANATI TU"
Hawana maana hawa!
 
amavubi... Aka...the yellow vented bulbul... Kuna msitu uko kati ya njombe na mbeya.. Una itwa the gods paradise... Una ndege huwa anatokea australia kuja kuzalia kwenye huo msitu na kisha hudi australi.. Je una habari zaidi ndugu??? Plus super thanks n hugs aisee?? Thumbs up jembeee

watu wa chaka tunawaita YVB, KISHWAHILI NI SHORWE BWENZI (unakumbuka staili ya kunyoa bwenzi?) nawajua ni common kwa Africa, lakn ndege wengi wanakuja huku Kati ya Oktoba na Novemba na kurudi Ulaya kati April na May, sasa hivi tuna migrants wengi hapa
 
9k=
Z
images
images

barn owl,nawapenda kwa rangi yao mostly white with heart shaped face..
 
Z

Barn Owl ni kama Kibibi Kizee cha Turin
 
nadhani ingeanza na kampeni ya uhifadhi wa ndege hasa kwa MAPORI TENGEFU
I can get very emotional on these things ndugu. Huyu ndege yupo captivity. The more we do things like this the more nature is destroyed. Ningekuwa na uwezo ningepiga adhabu mbaya sana wauzaji wa pets from the wild. Sipingi kabisa kabisa matumizi ya wildife kama chakula au pets, lakini hili linatakiwa kufanyika kwa umakini mkubwa sana pasipo ku-tip the balance wildlife ikatoweka katika form yake ya asili.
 
NAKUUNGA MKONO KABISA, NA SI LAZIMA U PROTECT SPECIES WOTE UNAWWEZA TENGA KAENENEO KWA AJILI YA KU-POTECT flycatcher TU
Nakubaliana nawe kabisa ndugu. Mungu akiniweka hai long enough nataka kutengeza project moja iwe mchango wangu kupreserve nature asilia sehemu fulani katika nchi yetu. Well, maybe I should use the words 'I will attempt!" Like you, I truly love nature!

Vijana wanaozaliwa siku hizi hawatakaa wajue ni kitu gani wanakosa bila sisi tuliokuwapo wakati ule Tanganyika ikiwa truly wild kuwaambia au hata kuwaonesha ilikuwaje. I wish so much to do a nature preserve project somewhere I know, for my beloved grandchild hidden somewhere...before I go.
 
nadhani ingeanza na kampeni ya uhifadhi wa ndege hasa kwa MAPORI TENGEFU

ujue huwezi kuhifadhi ndege pasipo kuhifadhi miti wanayoipenda na kutengezea viota pale. hili tatizo naliona dar. imefanywa kazi nzuri sana kupunguza kunguru weusi ambao wamekuwa chanzo cha kuua ndege asilia hapa, lakini mabungu yako wapi? Miti asilia ya pwani iko wapi? ndege hawataki ghorofa za kariakoo. wanataka vijito vya maji matamu na miti asilia. kwa hiyo nakubaliana nawe kuhusu uhifadhi wa ndege kwenye misitu tengefu, lakini pia tukiafiki wazo la kupunguza ukataji wa miti asilia au hata ipatikane njia ya kuipanda na kuilea miti asilia, tutakuwa tunasaida preservation katika hii sense ya 'larger picture' ninavyoona mie. Restoration ya miti, restoration ya vijito asilia, kudhibiti negative forces za kuzaliana kwa ndege, etc. it may be a tall order lakini nadhani linatekelezeka.
 
Nakubaliana nawe kabisa ndugu. Mungu akiniweka hai long enough nataka kutengeza project moja iwe mchango wangu kupreserve nature asilia sehemu fulani katika nchi yetu. Well, maybe I should use the words 'I will attempt!" Like you, I truly love nature!

Vijana wanaozaliwa siku hizi hawatakaa wajue ni kitu gani wanakosa bila sisi tuliokuwapo wakati ule Tanganyika ikiwa truly wild kuwaambia au hata kuwaonesha ilikuwaje. I wish so much to do a nature preserve project somewhere I know, for my beloved grandchild hidden somewhere...before I go.

yaani kabisa ndugu yangu... Mie si wa zamani sana... Ila kulingana na madhara ya usasa, nimetafakari nikaona nature is the best friend of living a happy and healthy life. Kuna mbuga ya hifadhi ambayo haina hata barabara ya lami wala haieleweki as in terms of kuwa na malazi kamili. Ni mbuga ambayo ina species tofauti za maua na pia ndio pori pekee lenye ndege wahamiaji... Tourist birds from australia to here..wanabreed kisha wanarudi kwao... Jamani.. I do pity my country..for we have everything and yet we are so far behind... Yaani naumia mpk.... Mungu tu atufanyie mageuzi...
 
yaani kabisa ndugu yangu... Mie si wa zamani sana... Ila kulingana na madhara ya usasa, nimetafakari nikaona nature is the best friend of living a happy and healthy life. Kuna mbuga ya hifadhi ambayo haina hata barabara ya lami wala haieleweki as in terms of kuwa na malazi kamili. Ni mbuga ambayo ina species tofauti za maua na pia ndio pori pekee lenye ndege wahamiaji... Tourist birds from australia to here..wanabreed kisha wanarudi kwao... Jamani.. I do pity my country..for we have everything and yet we are so far behind... Yaani naumia mpk.... Mungu tu atufanyie mageuzi...

enhee, wapi huko. Kitulo au?
 
sijaisikia hiyo IBA walaa.... eee mungu wa yakobo naomba hiyo IBA isiwe ni International Bird Abolition! enhee, em nambie sasa hiyo IBA ndo vitu gani?
mkuu usikonde, Bird Life International wameanzisha kampeni ya kulinda maeneo ambayo ndege adimu bado wanaonkena, kuna vigezo ambavyo vikitimia hilo eneo linajulikana kama Important Bird Area (IBA)
 
mkuu usikonde, Bird Life International wameanzisha kampeni ya kulinda maeneo ambayo ndege adimu bado wanaonkena, kuna vigezo ambavyo vikitimia hilo eneo linajulikana kama Important Bird Area (IBA)

weeeya! very good. I know an IBA then. ngoja nitulie nitaku-PM!
 
Back
Top Bottom