nilivyokuwa mdogo nilikuwa napenda sana ndege na ukichukulia daslam ndege wapo wa aina chahce tu(sholwe ndio kibao na tulikuwa tunawalaje),sasa mtu mzima maisha yameharibu peace of mind,nikitune natgeowld nikakutana na ndege naflip channel haraka sababu wananiyeyusha,.lini ndege atasqueeze mbavu zangu kama anaconda,i watch some real stuff...dah ccm mtanibeba siku mkifumuliwa madarakani!!mmeniathiri sana kisaikolojia