Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Ukitaka kumuelewa Don Nalimison utajichosha tuu mkuuBwana mkubwa samahani unajishughulisha na nn maana naona kuna nguvu kubwa sana unatumia kupost issue ambazo dah sijawahikukuelewa kabisaaaaaaaaaaaa sorry lkn
Hivi Don Promoter akihitaji ukapige shoo masumbwe utaenda? Maana unakipaji na sauti nzuri hadi Alikiba hakufikii
AnatafutaBwana mkubwa samahani unajishughulisha na nn maana naona kuna nguvu kubwa sana unatumia kupost issue ambazo dah sijawahikukuelewa kabisaaaaaaaaaaaa sorry lkn
Hivi Don Promoter akihitaji ukapige shoo masumbwe utaenda? Maana unakipaji na sauti nzuri hadi Alikiba hakufikii
Don.. Kwenye bio yako moja naona umejaza warembo... Vp usha mkaza hata mmoja kati ya hao...
Nalimson nini?
DON NAMLISON, juzi umesema umeacha kazi TAMISEMI. Sio kwa kipaji hicho cha uimbaji.
Mtumishi wa umma ana masaa 48 ya kufuta kauli yake ya kutukana kazi na kuiacha. Kimbia haraka udondoshe barua ya aya moja hata chini ya mlango kama ni weekend, ujirudishe kwenye ajira rasmi. Usanii is too damned down a profession for you. You may regret down the line.