Binuru maana yake nini

brigedia mafia

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
2,260
Reaction score
2,279
Haya wakali wa lugha njoeni hapa mnipe maana halisi ya neno Binuru

Nafahamu mtu akikwambia Alamsiki utaitikia binuru, sasa neno "binuru " lina maana gani??
 
Bila shaka hayo ni maneno ya Kiaraabu na hutumika hasa nyakati za usiku ngoja waje wajuzi wa mambo waweke bayana.
 
Ni maneno ya kiarabu, alamsiki ni allahu yumsiik bi khayr na binnuur ni kifupi cha allahu yumsiik bi nnuur, wataalamu wa lugha watakuja kuweka maana zake ktk kiswahili
 
alamsiki ni kusalimiwa kwa jioni usiku

binuru ni kuitika kwamba ata kama kuna giza, ama, kaa giza kinakuja, bado kwako kuna nuru...bado unaeza ona..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…