brigedia mafia JF-Expert Member Joined Jul 21, 2016 Posts 2,260 Reaction score 2,279 Sep 25, 2016 #1 Haya wakali wa lugha njoeni hapa mnipe maana halisi ya neno Binuru Nafahamu mtu akikwambia Alamsiki utaitikia binuru, sasa neno "binuru " lina maana gani??
Haya wakali wa lugha njoeni hapa mnipe maana halisi ya neno Binuru Nafahamu mtu akikwambia Alamsiki utaitikia binuru, sasa neno "binuru " lina maana gani??
Mpyena JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 993 Reaction score 1,272 Sep 25, 2016 #2 Bila shaka hayo ni maneno ya Kiaraabu na hutumika hasa nyakati za usiku ngoja waje wajuzi wa mambo waweke bayana.
Bila shaka hayo ni maneno ya Kiaraabu na hutumika hasa nyakati za usiku ngoja waje wajuzi wa mambo waweke bayana.
dariro JF-Expert Member Joined Mar 26, 2016 Posts 276 Reaction score 286 Sep 27, 2016 #3 Ni maneno ya kiarabu, alamsiki ni allahu yumsiik bi khayr na binnuur ni kifupi cha allahu yumsiik bi nnuur, wataalamu wa lugha watakuja kuweka maana zake ktk kiswahili
Ni maneno ya kiarabu, alamsiki ni allahu yumsiik bi khayr na binnuur ni kifupi cha allahu yumsiik bi nnuur, wataalamu wa lugha watakuja kuweka maana zake ktk kiswahili
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 27,650 Reaction score 16,722 Sep 27, 2016 #4 hance mtanashati .....umepata muda wa kumbembeleza tunda
X xisnotx Member Joined Feb 14, 2014 Posts 69 Reaction score 21 Sep 27, 2016 #5 alamsiki ni kusalimiwa kwa jioni usiku binuru ni kuitika kwamba ata kama kuna giza, ama, kaa giza kinakuja, bado kwako kuna nuru...bado unaeza ona..
alamsiki ni kusalimiwa kwa jioni usiku binuru ni kuitika kwamba ata kama kuna giza, ama, kaa giza kinakuja, bado kwako kuna nuru...bado unaeza ona..
brigedia mafia JF-Expert Member Joined Jul 21, 2016 Posts 2,260 Reaction score 2,279 Sep 28, 2016 Thread starter #6 Mulhat Mpunga said: hance mtanashati .....umepata muda wa kumbembeleza tunda Click to expand... , Muu bhana
Mulhat Mpunga said: hance mtanashati .....umepata muda wa kumbembeleza tunda Click to expand... , Muu bhana
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 27,650 Reaction score 16,722 Sep 28, 2016 #7 hance mtanashati said: , Muu bhana Click to expand... hahaha i miss u bhana ulifanyaje polee swt love
hance mtanashati said: , Muu bhana Click to expand... hahaha i miss u bhana ulifanyaje polee swt love
brigedia mafia JF-Expert Member Joined Jul 21, 2016 Posts 2,260 Reaction score 2,279 Sep 28, 2016 Thread starter #8 Mulhat Mpunga said: hahaha i miss u bhana ulifanyaje polee swt love Click to expand... nilianzisha thread ya Faiza Ally ila title mods hawaakuipenda waliiona kama ina maneno mabaya
Mulhat Mpunga said: hahaha i miss u bhana ulifanyaje polee swt love Click to expand... nilianzisha thread ya Faiza Ally ila title mods hawaakuipenda waliiona kama ina maneno mabaya
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 27,650 Reaction score 16,722 Sep 28, 2016 #9 hance mtanashati said: nilianzisha thread ya Faiza Ally ila title mods hawaakuipenda waliiona kama ina maneno mabaya Click to expand... usirudie tena mimi wewe kwangu ni kama tunda kwako nisipoona hii miwani napata presha ππππ
hance mtanashati said: nilianzisha thread ya Faiza Ally ila title mods hawaakuipenda waliiona kama ina maneno mabaya Click to expand... usirudie tena mimi wewe kwangu ni kama tunda kwako nisipoona hii miwani napata presha ππππ
brigedia mafia JF-Expert Member Joined Jul 21, 2016 Posts 2,260 Reaction score 2,279 Sep 28, 2016 Thread starter #10 Mulhat Mpunga said: usirudie tena mimi wewe kwangu ni kama tunda kwako nisipoona hii miwani napata presha ππππ Click to expand... ha ha aa ha , sirudii tena Muu
Mulhat Mpunga said: usirudie tena mimi wewe kwangu ni kama tunda kwako nisipoona hii miwani napata presha ππππ Click to expand... ha ha aa ha , sirudii tena Muu
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 27,650 Reaction score 16,722 Sep 28, 2016 #11 hance mtanashati said: ha ha aa ha , sirudii tena Muu Click to expand... asanteee
dendaboy JF-Expert Member Joined Sep 15, 2016 Posts 1,091 Reaction score 744 Sep 28, 2016 #12 hance mtanashati said: Haya wakali wa lugha njoeni hapa mnipe maana halisi ya neno Binuru Nafahamu mtu akikwambia Alamsiki utaitikia binuru , sasa neno "binuru " lina maana gani?? Click to expand... Vipi hyo ya kwanza alamsiki umeielewaje?
hance mtanashati said: Haya wakali wa lugha njoeni hapa mnipe maana halisi ya neno Binuru Nafahamu mtu akikwambia Alamsiki utaitikia binuru , sasa neno "binuru " lina maana gani?? Click to expand... Vipi hyo ya kwanza alamsiki umeielewaje?
brigedia mafia JF-Expert Member Joined Jul 21, 2016 Posts 2,260 Reaction score 2,279 Sep 28, 2016 Thread starter #13 dendaboy said: vp hyo ya kwanza alamsiki umeielewaje? Click to expand... Alamsiki navyofahamu ni kuwa mtu anakutakia usiku mwema
dendaboy said: vp hyo ya kwanza alamsiki umeielewaje? Click to expand... Alamsiki navyofahamu ni kuwa mtu anakutakia usiku mwema
brigedia mafia JF-Expert Member Joined Jul 21, 2016 Posts 2,260 Reaction score 2,279 Sep 28, 2016 Thread starter #14 Mulhat Mpunga said: asanteee Click to expand... Alafu nimeona mwanya mdomo mwako, nimeupenda sana
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 27,650 Reaction score 16,722 Sep 28, 2016 #15 hance mtanashati said: Alafu nimeona mwanya mdomo mwako ,nimeupenda sana Click to expand... HAHAHA USIANZE MIE SIO TUNDA PITA KIMYAKIMYA
hance mtanashati said: Alafu nimeona mwanya mdomo mwako ,nimeupenda sana Click to expand... HAHAHA USIANZE MIE SIO TUNDA PITA KIMYAKIMYA
M Mshughulishaji JF-Expert Member Joined Sep 29, 2015 Posts 1,352 Reaction score 1,881 Sep 28, 2016 #16 Maana yake ni kwa mwangaza kwa NURU
brigedia mafia JF-Expert Member Joined Jul 21, 2016 Posts 2,260 Reaction score 2,279 Sep 28, 2016 Thread starter #17 Mulhat Mpunga said: HAHAHA USIANZE MIE SIO TUNDA PITA KIMYAKIMYA Click to expand... Kizuri kisifie bhana usikiache hivi hivi , ha ha hah
Mulhat Mpunga said: HAHAHA USIANZE MIE SIO TUNDA PITA KIMYAKIMYA Click to expand... Kizuri kisifie bhana usikiache hivi hivi , ha ha hah
dendaboy JF-Expert Member Joined Sep 15, 2016 Posts 1,091 Reaction score 744 Sep 28, 2016 #18 hance mtanashati said: Alamsiki navyofahamu ni kuwa mtu anakutakia usiku mwema Click to expand... Sasa binnur ni mwitiko wa kupokea kutakiwa huo usiku mwema.
hance mtanashati said: Alamsiki navyofahamu ni kuwa mtu anakutakia usiku mwema Click to expand... Sasa binnur ni mwitiko wa kupokea kutakiwa huo usiku mwema.