Binti yangu kafikisha miaka 18

Binti yangu kafikisha miaka 18

Hossam

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2011
Posts
3,548
Reaction score
2,180
Huyu ndo binti yangu jamani ila ana miaka 18 tu. Picha ya kwanza ilikuwa mwaka juzi akiwa na miaka 15 hehehehe hii ya pili ni mwaka juzi pia akiwa na mjukuu wangu. Jamani kakosa nini binti yangu? Tumeenda pale holand kuangalia specimen signature card ni aibu eti benki wamemuongeza miaka 7 hawa 'benki ya ushirika na maendeleo vijijini hawa!'
attachment.php



 

Attachments

  • 1413608616979.jpg
    1413608616979.jpg
    28.8 KB · Views: 1,666
  • 1413608636487.jpg
    1413608636487.jpg
    29.1 KB · Views: 3,875
Fanya haraka unipe namba zake, mahali ng'ombe 50, nikumuoa nitamfungia ndani hadi atakapopata migegedo elfu moja
 
huyu si miss nanii huyu?kumbe tayari ana ka bby!!"hili nalo litapita tu"
 
Kitu kimesimama, yaani Anko Lundenga hajamuona kama huyu wa Mtemvu mwenyewe miaka tata.
 
Hahahaha ana miaka chini ya kumi nane ana miaka.....suguuuuu.....mtoto kazaa mtoto dah nna maugwadu mie hahahaha! Tz noumaaaaaa.....hivi mazee TI vipi keshatimba bongo ama?
 
Mumwache binti wa watu apumue sasa!! Chaa
 
Kuna haja ya kutafuta anuani za waandaaji wa miss world huu ni zaidi ya ujinga na tusi Kubwa Kwa watanzania wote Lundenga haya mambo anatakiwa kuyafanya kwenye familia yake. Kwa pamoja na ushahidi wote inatakiwa inbox ya miss world ijae.

Miss world contact page.
http://www.missworld.com/Contact/

Lundenga na miss wako wa kuchakachua mtatuelewa tu muda si mrefu.
 
Huyu ndo binti yangu jamani ila ana miaka 18 tu. Picha ya kwanza ilikuwa mwaka juzi akiwa na miaka 15 hehehehe hii ya pili ni mwaka juzi pia akiwa na mjukuu wangu. Jamani kakosa nini binti yangu? Tumeenda pale holand kuangalia specimen signature card ni aibu eti benki wamemuongeza miaka 7 hawa 'benki ya ushirika na maendeleo vijijini hawa!'

Akhsante Kwa Kujishaua Na Kujishebedua, Pili Akhsante Kwa Kutuonyesha Jinsi Gani Ulivyo Mwana Chukua Chako Mapema Kwa Unjano, Ukijani, Nyundo Na Jembe, Tatu Napenda Kukupongeza Kwa Kuwa Na Mvuto Wa KUPACHULIWA Na Nne au Mwisho Kujibu Tu Swali Lako Kwakuwa Tayari Bintiyo Amefikisha Umri Huo Na Wewe Unahitaji Msaada NAKUSHAURI na NAKUOMBA Umwagize Aje Kwangu GENTAMYCINE Ili NIZIDI KUMKOMAZA Kwa MIAKA 18 IJAYO. Nasubiri Majibu au Ukiwa Tayari UNAWEZA UKAFANYA Kolabo Nae!
 
Akhsante Kwa Kujishaua Na Kujishebedua, Pili Akhsante Kwa Kutuonyesha Jinsi Gani Ulivyo Mwana Chukua Chako Mapema Kwa Unjano, Ukijani, Nyundo Na Jembe, Tatu Napenda Kukupongeza Kwa Kuwa Na Mvuto Wa KUPACHULIWA Na Nne au Mwisho Kujibu Tu Swali Lako Kwakuwa Tayari Bintiyo Amefikisha Umri Huo Na Wewe Unahitaji Msaada NAKUSHAURI na NAKUOMBA Umwagize Aje Kwangu GENTAMYCINE Ili NIZIDI KUMKOMAZA Kwa MIAKA 18 IJAYO. Nasubiri Majibu au Ukiwa Tayari UNAWEZA UKAFANYA Kolabo Nae!

We una hasira Sana! Dah! Ule uzi wa lowassa umenichekesha sana!
 
hili taji la miss tz mwaka huu ni la kuchunguza tena. sio vyema kunyamazia hizi kashfa kama hawaoni
 
Miss Tanzania ni mashindano ya kihuni....Huyo kokoo nasikia eti ndo miss Tanzania..
 
huyu si miss nanii huyu?kumbe tayari ana ka bby!!"hili nalo litapita tu"
Wabongo ndivyo tulivyo. Tuliwahi kumuweka mchezaji mzee anayechezea Simba kwenye timu ya taifa ya U17 ilipogunduliwa tukanyang'anywa ushindi na kuondolewa mashindanoni. Hakuna aliyewajibishwa. Juzi si umesikia hata kwenye bunge la katiba hata marehemu wamepiga kura? Wengine walikuwa Maca wakimpiga shetani nao kule kumpiga shetani tu ikachukuliwa ni kura ya ndio. Mwingine alikuwa zake nyumbani wala hajashiriki wamemuorodhesha kwenye kura za ndio. Mjumbe toka bara ghafla kawa wa Zanzibar. Sasa kali kuliko zote ni pale unapomsikia mkuu kutoka Magogoni akisema ni tendo la kihistoria! Hata huyo mama nanilino kuwa miss Tanganyika ni tukio la kihistoria. Wabongo wanapenda historia! Hata walipoiba EPA wanasema ni tukio la kihistoria halafu wanasameheana kimtindo!
 
mhhh makubwa haya kama na wazazi tunaruhusiwa watangaze tu ili tugombee nasie shikamoo uncle lundenga
 
Kuna haja ya kutafuta anuani za waandaaji wa miss world huu ni zaidi ya ujinga na tusi Kubwa Kwa watanzania wote Lundenga haya mambo anatakiwa kuyafanya kwenye familia yake. Kwa pamoja na ushahidi wote inatakiwa inbox ya miss world ijae.

Please ukiipata hiyo anuani share with us,ila lundenga kasema juma4 atakua na press conference kuelezea hili suala,asipomvua taji lazima tutume ripoti miss world
 
Back
Top Bottom