Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,548
- 2,180
Huyu ndo binti yangu jamani ila ana miaka 18 tu. Picha ya kwanza ilikuwa mwaka juzi akiwa na miaka 15 hehehehe hii ya pili ni mwaka juzi pia akiwa na mjukuu wangu. Jamani kakosa nini binti yangu? Tumeenda pale holand kuangalia specimen signature card ni aibu eti benki wamemuongeza miaka 7 hawa 'benki ya ushirika na maendeleo vijijini hawa!'