Nakuelewa sana sababu kila mtu na alivyo lelewa kwao na maadili yao....Kwa upande wangu siafiki kuwa mke wangu atakuwa katika mazingira yasiyo hatarishi (kimchepuko) akiwa na mama yake au watoto wake WA KIKE. Naamini atakuwa katika mikono salama hasa akiwa na mtoto wa kiume (maana naye ana wivu na mamake biologically) au mama yangu mzazi (maana ni mahasimu kwani mama yangu ana wivu biologically na mke wangu) hivyo kuna kuogopana. Kufuatana fuatana na mtoto wako wa kike hasa kwa akina Kitwanga, humomonyoa maadili kwa watoto wa kike.
Kwa bahati mzuri najua watu wengi wa 'waja leo....' mama mtu huwa anamfichia madhambi binti yake sana. Ukilalamika kwa mama mkwe anakugeuzia kibao. Hataki mtoto wake aachike wakati huo huo wengi wanapenda wachepuke kwa raha zao. Ndo maana ya mawazo yangu yale ya awaliNakuelewa sana sababu kila mtu na alivyo lelewa kwao na maadili yao....
Narudia tena kila mtu na uelewa wake "You can lead a man to KNOWLEDGE but you can't make him think...Kwa bahati mzuri najua watu wengi wa 'waja leo....' mama mtu huwa anamfichia madhambi binti yake sana. Ukilalamika kwa mama mkwe anakugeuzia kibao. Hataki mtoto wake aachike wakati huo huo wengi wanapenda wachepuke kwa raha zao. Ndo maana ya mawazo yangu yale ya awali
Nimekuelewa sana na kumbuka hakuna binadamu anayeweza kujiangalia kichogo bila kioo. Asikuambie mtu siku hizi akinamama siku hizi mmepinda ile mbaya ( Askari asimulia siku ya mwisho ya kinyogoli kazini )na joto ya jiwe tunaipata majumbani. Usiku mwemaNarudia tena kila mtu na uelewa wake "You can lead a man to KNOWLEDGE but you can't make him think...